CCM civil wars

CCM civil wars

Hiki chama kinaenda kujiangamiza chenyewe kwa siasa zake ndani na nje. Walisema hakitatikisika, kina uzoefu wa kuhimili mitikisiko, safari hii kimeyakanyaga, zile nguvu kama za Samsoni hazipo, Samsoni alijititimua akidhani ana nguvu kumbe hazipo, ziliishaondoka, akaangamia pamoja na watesi wake. Unaweza kuwa na nguvu nyingi sana ila ipo siku zitatoweka
 
War lords of CCM civil wars from 2015 to 2026
Lowasaa
Sumaye
Kinana
January
Nape
Mkapa
Membe
Magufuli
Mpina
Ndugai
Tulia
Ummi
Simbachawene
Polepole
Nchimbi
...............
........
.....
.....
.
.....
Mbona hii vita ikakawia kuanza na kuisha ili tuione hatma mpya?
 
Back
Top Bottom