pipikijiti JF-Expert Member Apr 25, 2017 309 406 Nov 19, 2017 #1 Ilikuwa ni miaka ya 1980s mitaa ya urusi,,,,,na sasa hivi ni bilionea mkubwa sana
Ettore Bugatti JF-Expert Member Aug 28, 2017 4,125 8,231 Nov 19, 2017 #2 Jamaa alikuwa HB sema vodka za kwa Putin zimemchakaza kweli!
kadoda11 JF-Expert Member Jan 6, 2011 21,453 20,712 Nov 19, 2017 #10 sidhani na siamimi huyo ni dr. shika.
KING DUBU JF-Expert Member Mar 7, 2017 919 1,239 Nov 19, 2017 #11 Jamaa alikuwa vizuri sana kiukweli kiakili na body structure.
Behaviourist JF-Expert Member Apr 8, 2016 39,902 95,405 Nov 19, 2017 #12 A new babe in town! Attachments 175993.jpg 20.9 KB · Views: 112
Inna JF-Expert Member Jan 13, 2017 11,188 27,043 Nov 19, 2017 #13 REALNEGRONEVABROKE said: Jamaa alikuwa HB sema vodka za kwa Putin zimemchakaza kweli! Click to expand... kwel vodka mbaya
REALNEGRONEVABROKE said: Jamaa alikuwa HB sema vodka za kwa Putin zimemchakaza kweli! Click to expand... kwel vodka mbaya
Avatar JF-Expert Member Mar 7, 2012 11,127 11,908 Nov 19, 2017 #14 Shika kashikilia mutoto Alikua bishoo daah Urusi sio kuzuri kabisa sasahivi hata meno hana
Lee JF-Expert Member Jul 31, 2013 43,905 150,212 Nov 19, 2017 #16 Hizi picha siziamini ...1970 kweli mbona mitoko hii kama ya miaka ya 2000
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,135 141,966 Nov 19, 2017 #17 Vunja mifupa angali meno bado ipo... Cc: mahondaw
Kyawanjubu JF-Expert Member May 13, 2017 2,436 2,156 Nov 19, 2017 #19 Mmmm shati zilikuepo kipindi hicho
mjasiliaupeo JF-Expert Member Apr 21, 2013 2,151 3,066 Nov 19, 2017 #20 Hilo shati alilovaa na quality ya picha na raba haviendani na miaka ya 70's. ukitumia 0.00% ya akili utagundua kuwa huyo sio dr.
Hilo shati alilovaa na quality ya picha na raba haviendani na miaka ya 70's. ukitumia 0.00% ya akili utagundua kuwa huyo sio dr.