Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,129
- 7,448
Hata nkuu ndoo njia nne pale wamejazana na wengi ni Kutoka ukoo wa Nkya..Na kwako ni pale Nkuu Sinde njia nne.. Mpaka leo ni wauzaji wakubwa wa nyama..
Kuna mwaka ule waislam wanalilia kuchinja wachinje wao tu, kule Machame hawa akina Rajabu wakaivalia njuga, eti wachinje wao na kuuza nyama wauze wao wakati waislam ni 0.001 ya population yote Machame. Wakristo wala hawakutaka fujo, wakawaambia sisi tuacheni tutanunua kwenye bucha za wakristo wenzetu nyama hizihizi mnazoziita najisi na nyie wauzieni waislam wenzenu. Mbona wenyewe waliomba poo na kukubali yaishe..
Waislam kule uchagani ni tone tu lakini tunaishi nao vizuri bila matatizo yoyote, ila kama kwenye ile jamii waislam wangekuwa ni wengi kuliko wakristo sijui hata hawa wakristo wangeishije..
Ni wachinjaji wazuri .
Hilo swala la uchinjaji nilikuwepo wakati huo diwani akiwa Rajabu Nkya ...Anaishi waramu pale... Wakristo walipoamua kununua nyama Kwa wakristo wenzao wakaanza vitisho...Nakumbuka kuna mzee walimwekea risasi na petroleum buchani kwake ila Hilo halikufua Dafu.