hawa wamemtegea mkuu maana ndio ugonjwa wakeWaganga njaa kibao hapo.
huyu anayemkatikia mauno rais wetu hapo ni mama salma? Ama ni yule mdogo?
Huyo mama km sio viti maalum basi atateuliwa kuwa mkuu wa wilaya na hayo yatakuwa malipo ya hiyo kazi anayoifanya hapo
usije shangaa kukuta ni mbunge wa viti maalum!