Picha kama hii ni adimu kuziona

Picha kama hii ni adimu kuziona

Hii picha naiona kama mara ya 3 thread tofauti.nzuri
 
Baba jesca na umri wake bado anapiga mke tabu kwelikweli
 
Nishaona picha zaidi ya tatu mahaba mazito kati ya Mzee Kikwete na mkewe nadhani anapeleka salamu kwa sizonje na godfather wake yule mkuu wa malofa!!nadhani hata aliyoyasema Mange kimabi yanukweli kabisa
 
1ae99f0244a9b93e1583248e1a10ab5e.jpg

Gentlemen.
Team work.
Kindness.
Good speech.
Most remembered, loved and honoured.
Leaders who made good history.
The Price of Being Good and Humble To Your People.
Reconnected to their fellow Citizens.
Admired Legacy of 21st Century.
So we cherished and we will write the History.
 
Magnificent indeed. ..kwa kweli nimeipenda hii picture. ..
It's just SIMPLY THE BEST. ..ni wanaume wachache wa kiafrica kufanya hivi. ...I LIKE IT. .

Jk ana vinasaba vya Obama.
 
Mkuu huon kama wanafanana kwa jinsi wanavyowajali wake zao, yaani familia zao kwa ujumla, japo mmoja ni polygamous
JK yuko juu sana kulinganisha na Obama.
Kitendo cha Obama kumuua Ghadafi wetu na kufanya nchi nzima kuwa mavumbi HAPANA. .Obama ni shetani ndiyo kitu nitakacho mlinganisha naye. ..kuo wake wengi kama una pesa nyingi kwangu ni sawa tu kwa kweli. ..
 
Back
Top Bottom