mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Enzi za ubora waoMakamanda bwana!
Inauma Nini mkuuDaaah! Inauma sana
Ni yule aliyevunjika mkono bafuni akipiga nieto?Kuna mmoja hapo eti anasema chadema walizuia watalii wake 100
Wewe ulitaka awamu hii iweje? Ukipewa madaraka yote ya kuiongoza hii awamu japo kwa siku moja tu utaweza?Awamu hii hovyo kabisa kubana uhuru hata wa kutembea tu