Picha: Jiji la Dar es Salaam

Kisu Cha Ngariba

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
22,133
Reaction score
48,851
Picha:Jiji la Dar es Salaam
 

Attachments

  • IMG_1584.JPG
    57.3 KB · Views: 386
  • IMG_1585.JPG
    312 KB · Views: 442
  • IMG_1586.JPG
    50.5 KB · Views: 297
  • IMG_1587.JPG
    285.1 KB · Views: 383
  • IMG_1588.JPG
    384.8 KB · Views: 418
  • IMG_1589.JPG
    309.9 KB · Views: 457
  • IMG_1590.JPG
    391.6 KB · Views: 1,434
  • IMG_1591.JPG
    335.6 KB · Views: 658
  • IMG_1592.JPG
    179.6 KB · Views: 451
  • IMG_1593.JPG
    212.8 KB · Views: 336
  • IMG_1594.JPG
    240.5 KB · Views: 769
  • IMG_1595.JPG
    102.6 KB · Views: 627
  • IMG_1596.JPG
    171.6 KB · Views: 306
  • IMG_1597.JPG
    34.8 KB · Views: 407
  • IMG_1598.JPG
    184.7 KB · Views: 371
  • IMG_1599.JPG
    41.3 KB · Views: 284
  • IMG_1600.JPG
    79.2 KB · Views: 296
  • IMG_1601.JPG
    89.1 KB · Views: 298
  • IMG_1602.JPG
    22.3 KB · Views: 377
  • IMG_1603.JPG
    42 KB · Views: 276
Tatizo lako ni moja tu hukupaswa kuziedit maana ushaondoa uhalisia hapo, anyway wanaoishi mjini usiku ndo wanayafaidi hayo mataa,
Picha zako umezipiga vizuri sana,bravo!
 
Jiji ambalo wanaume wa huku hawana uwezo wa kuongoza mpaka waletewe wanaume wa kuwaongoza kutoka mikoani
 
Niliona picha za jiji la Mombasa picha zilikuwa bomba kuliko uonapo live hayo maeneo coz nafikaga mombasa tena town kabisa yeah ndo kazi ya digital camera hiyo

Pia digital camera inaweza kuwa imemwaminisha mtu asiewahi kufika Kampala kudhani kwamba ni bonge la jiji kumbe vumbi tu coz nimeishi pale pia lkn kwa ile thread ya picha za jiji lile zilivyokuwa zinaonekana superb wacha photographer afanye kazi yake

Nikirudi kwenye hizi picha za jiji la bwana Bashite pia nashikwa na mshangao kuona picha zilivyotulia kiasi kwa majengo na maeneo yaliyopostiwa yanaonekana beautiful kuliko yanavyoonekana mubashara
 


The Dar skyline, kwa speed ya mkulu hopefully it doubles by 2030. 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…