Picha: Jihadharini na huyu tapeli

Picha: Jihadharini na huyu tapeli

Mleta mada ahsante sn kwa taarifa,NAOMBA NAMBA YAKE UWEKE HAPA JUKWAANI ILI TUNAOHITAJI BIDHAA TUENDELEE KUAGIZA..KM PICHA YAKE UNAYO NAAMIN NAMBA YAKE HAUWEZI KUKOSA.
FANYA HVYO PLEASE.
 
Huyo mchaga feki unatapelije kingese hvyo tena mpka picha yko unaweka,mkamateni mtatueni marinda yke
 
Juzi walikuja jamaa hapa dukani kwangu walijitambulisha wanafanya hiyo biashara ya mtandao, wakaniomba kama nataka waitangaze biashara yangu kwenye mtandao, niliposoma kile kipeperushi chao wanasema "hela nitapata baada ya mteja kupata bidhaa yake, nikamwambia hapana sitaki, wakaondoka ila wapo watu walikubali, Dunia itaisha lkn wajinga hawatamaliza
 
Anatafuta na kama kuna walugaluga wanaoendelea kuamini kwamba bongo ina watu wema waache wafundishwe the hard way.. Once conned hawatarudia tena kufanya business transactions online with strangers..

Watu wanaamini watu kirahisi
 
Wapo wengi tu huko insta, mwingine ni markanthony niliagiza note 3 ilikua mwaka jana mwanzon bei akasema milion 1 kipindi hiko nipo mkoani na sikua natarajia kurudi dar kwa wakati huo. Nikamtumia hela vizuri kuja kutumwa simu kwanza chaji ni ya note 2 sio ya 3, earphone hakuna. Baada ya siku 3 simu ikazima kuja kumwambia analeta dharau nikamuambia kaka angu ni msoja mbona aliilipa hiyo hela. Toka siku hiyo nimejifunza sinunui kitu kutoka insta
 
Hivi kwanini hawampeleki mahakamani kila kukicha wanamzunguzia tu online.
 
bado Tanzania hatujakuwa na secure platform ya kununua bidhaa online...how come MTU ameweka kitu kwenye page ya insta na uko mkoani unaamini atakutumia hicho kitu kwa mda muafaka na bidhaa kuwa ni halisi,inabidi tujiongeze wakuu...au tumesahau hasili ya mtanzania
 
Online yakutoa hela siyo nzuri mie nanunua sana vitu online kwakuweka booking then napewa code namba halafu ndo naenda dukani kuchukua mzigo
 
bado Tanzania hatujakuwa na secure platform ya kununua bidhaa online...how come MTU ameweka kitu kwenye page ya insta na uko mkoani unaamini atakutumia hicho kitu kwa mda muafaka na bidhaa kuwa ni halisi,inabidi tujiongeze wakuu...au tumesahau asili ya mtanzania
 
Hao wana hela nyingi walikuwa wanatafuta pa kuzipunguzia ww mtu humjui unamwamini vipi? Mkome nafkri hapo mtajifunza na wengine
 
twendeni madukani wenyewe. Matapeli wengi mjini
 
Online nyingi nchi za wenzetu ni cash on delivery unampaje mtu hela kwa bidhaa ya kuona insta india flipkart,snapdeal ,myintra wote wanafanya biashara kwa cash on delivery unaridhika unawapa chao sijui sisi tunafikiria nn kumpa mtu hela kwanza
 
Ujinga hauna mwenyewe kiongozi. Tena watu kama wewe mnaojifanya hamtapeliwi utakuja kunasa sehemu mbovu mpaka mwenyewe ushangae. Wanatapeliwa makamanda wa polisi, mawaziri hadi nchi ije kuwa wewe?!
Kuibiwa kwa style hii ni ujinga sio vyema kupindisha maneno . Kwel unachat na mtu humjui then unamtumia hela? Ni sawa na wale wanaotongoza wanawake hawawajui kwa kuona tu picha bila kujua mtu anaweza kutumia picha yeyote. Ukiibiwa kizembe namna hii unakaa tu kimya unakuwa umejifunza.
 
mmmmmmmmmmm,mie apana hujakula hela yangu kama sikujui hata duka,yani huo uzungu au maendeleo kawa bongo bado sanaaaaaaaaaaa,nionyeshe duka lako nije ninunue mpango wa Insta sijui mashaka gani mie apana,pesa yenyewe inatoka mbali unawacha wanao nyumbani unakwenda kazini dhiki kero ya Jam barabarani halafu pesa nikupe just like that!
apana na mungu asinijaalie....
Usijiwekee dhamana au tahadhari... kuna mghafala dadangu !! yaani Fumba fumbua wajikuta ushauwingia !! Wangapi hawakutegemea kuliwa kiurahisi hivo..... Lakaini wakala hola!!
 
Back
Top Bottom