PICHA: Je, DC bora ni huyu?

Unaelewa maana ya muungano?
Hayo manufaa kwani ni ya wazanzibari?

Ubaguzi ni ujinga
Huyu jamaa kwa kungalia uso wake ni hawa naoweza kuwaita ''pretenders''. Hawa siyo viongozi bali ni piga deals wanatumia udhaifu wa mifumo yetu ku-achieve goals zao. Wako wengi kweli kweli eg Gambo, Makonda, kule yule mwingine aliyekuwa ameiga Magufuli kunatania wanawake sana kipindi cha Magufuli jina limenitoka.... Hawa ni sumu kwenye uongozi wetu.
 
Ghafla tu Shaka ameshakuwa mweupe kuliko Mheshimiwa Angela Kairuki.
 
Shaka ni sawa kabisa RC
 
RC SHAKA HAMDU SHAKA
 
Mr .RC
 
Kila lenye heri Shaka
 
Hamna DCbora kwani hicho cheo hakitakiwi uwepo. Mkurungezi kuongozwa halmashauri na katibu tawala kuwakiisha serikali Kuu. Period
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…