Rozanna Agro Africa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 809
- 789
Mjifunze vijana, mnaoa mkiwa hamna kitu, mnakuwa na pesa mnawadharau wake zenu na kuanza kutafuta hifadhi nje.. matokeo yake yanawakuta makubwa.
Mzee alikosea sana ....alishindwa kuhimili tamaa za kichwa chake cha chini hat I'm a eat ameacha doa kubwa sana katika family yake .... mtu aliye pambana miaka nenda rudi kwaajili ya kujilimbikizia ukwasi wa kutosha na heshima katika jamii licha ya elimu na IQ kubwa aliyonayo Mwisho wa siku akaenda kujiingiza kwenye mambo ya kipuuzi kabisa ambayo yalistahiki kufanywa na mwana bongo flavor ....leo hii athari yake inatak kuwa maliza watu
Kuna mzee nasali nae jumuia,mke wake alikufa wanae wote wanafamilia zao yupo peke yake.
Kwanza mzee yupo mwenyewe hataki mfanyakazi na hana mpango wa kuoa,pale mtaani ana nyumba tatu moja anakaa mwenyewe mbili kapangisha.
Basi yeye kazi yake ni kuvigonga visichana mtaani yaani hana mpango wa kuoa.Nakumbuka kuna kipindi turubai la jumuia lilikuwa lina lala kwake,tukaenda asubuhi,tukaambiwa na wapangaji wake hayupo,tukasubiri mpaka saa nne tukaenda tukagonga mlango wake akatoka na taulo katufungulia mlango ,hutajakaa sawa tunakiona kibinti na kitenge,tukajua mzee alikuwa na mechi.
Yaani kwa kifupi mzee anaishi maisha ya kisela yy akiwa na hamu anavuta kibinti anakifyatua,baadaye kila mtu anashika hamsini zake.
None of my business. It's my phone's fault. Les médias.Sorry mkuu,media ni wingi wa medium.Kwa hiyo si sawa kusema "medias" maana ni double marking.
Wamachame kwenye mali zao hawachezewi kabisa. Mdogo wa marehemu yule Benjamin na watoto wakubwa wa marehemu wako imara sana.
Sorry if I offended you.I thought you could ready to learn.Unfortunately you are not.None of my business. It's my phone's fault. Les médias.
Mmeweza kwa Baba Askofu Maisha hayana maana yoyote.Too bad wambea hatulalagi hivyo *****, tukitaka kumtoa mtu kwenye ramani ni dakika moja tu
Mkuu umemsahau yule mtoto wa Mwakasage hapa, na yeye inasemekana yule miss alimdedisha kwa stressKanumba --- source ya kifo chake ni lulu
Ndikumana -- Irene uwoya
Mengi -- Jacklyn ntuyabaliwe
Ivan --- zarina Hassan
Kuna Haja sasa kwetu sisi wanaume kukaa na kujitathmini vyema ..hivi viumbe kwa namna nyingine sio watu wazuri
Sema wewe..yaan binadamuUlitaka amuoe nani asee,mbona kupangiana maisha.
We ni mtu wa tatu kutamka hiliMnaongea tuu, wenye uwezo wa kuundeleza ukoo wa mengi ni hawa watoto mapacha, hana mjukuu kwa mtoto wake hata mmoja, nasikia sikia za kunyapia huyu mmoja mchicha mwiba huyu mwingine jiwe msaga jiwe
Before you Cast a Stone........Sorry if I offended you.I thought you could ready to learn.Unfortunately you are not.
Unauhakika gani na picha hii???Mange alikuwa sahihi...!! Pumzika kwa amani mzee wetu R.Mengi kuna mengi Umetuachia ya Kujifunzaa...View attachment 1091178
Teh teh tehJuma Kapuyanga naye atakuwa makini sana baada ya tukio hili la Machache
Mnaongea tuu, wenye uwezo wa kuundeleza ukoo wa mengi ni hawa watoto mapacha, hana mjukuu kwa mtoto wake hata mmoja, nasikia sikia za kunyapia huyu mmoja mchicha mwiba huyu mwingine jiwe msaga jiwe
Mnaongea tuu, wenye uwezo wa kuundeleza ukoo wa mengi ni hawa watoto mapacha, hana mjukuu kwa mtoto wake hata mmoja, nasikia sikia za kunyapia huyu mmoja mchicha mwiba huyu mwingine jiwe msaga jiwe
Hawa watoto walishapata share ya mama yao, Mengi alibaki na 25% ndiyo ameihonga kwa spring chicken.Kama haya yanayosemwa yana ukweli na Mengi kaacha will inayompa Jackie percentage kubwa kuliko watoto wakubwa basi lawyers wajiandae kuvuna mpunga mrefu maana naona kuna kesi kubwa inakuja muda si mrefu ujao.