its so pain aisee hakuna nice hapoPata picha nimelazwa kwenye sanduku nimevalishwa na nguo nzuri halafu ndio unapita mbele yangu kuniaga kwa mara ya mwisho hahahahahhaha so nice eeeghh??
Age yako lakini huyo,maybe hes also needs a shoulder to learn,after that event,apart from a bottles of vodka 's.Unaomliza ni upweke.
Acha uoga mama..... huku juu kuna maisha matamu kuliko hapa dunian... Ndio maana wakienda hawarudi, ng'o...!kwa gharama yoyote kingebidi kikwepwe
Yeah Ni Upweke na Vile anatafakari anakuta kwamba Washikaji wote mchanga ushawafukia chini.Unaomliza ni upweke.
Mmh mkuu hakuna aliyeenda akarudi kutuadisia kukoje aisee bad enough tunaanzia chini .. Je kama hapo chini ndiyo mwishoAcha uoga mama..... huku juu kuna maisha matamu kuliko hapa dunian... Ndio maana wakienda hawarudi, ng'o...!
Hahahhahaa hio siku ukiamka humkuti hata Invisible hahahahhaaa atakaye moderate Forums ni nani??Ni sawa na uamke kesho asubuhi ukute member wote wa JF wametangulia mbele ya haki na umebaki peke yako. Hapo lazima uangue kilio cha nguvu, Imagine ni upweke wa aina gani huo utakao kumbana nao?