Kafa ki~thithiem,.hapo kafa au
Afadhali..Kalala
kapumzika tukijana acha mzaha mimi nimeuliza kwa nia njema ili nielewe siunajua visimu vyetu vya toch?
Anacheza singelihapo kafa au
Sasa mke wake itakuaje?
hapo kafa au
Kalala
kijana acha mzaha mimi nimeuliza kwa nia njema ili nielewe siunajua visimu vyetu vya toch?
ndio anafufuka mkuu..
anapunga upepohapo kafa au
PhaseHiyo ngoma hapo inaitwa 6 face siyo three face tena, shoti yake unakatika katika viungo vyote vya mwili!
Huyo wakati wa kumtoa hapo atakuwa ananukia harufu flani ya nyama mbuzi choma
jamaa amepata kifo na ku kosa uzima.wanakuambia kwenye maisha kuna vitu hivi viwili kupata na kukosa!
Hahahahandio anafufuka mkuu..
Hahahaha. ...Anyway RIPKalala