Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,533
Jambasifaze
Jambasifaze
Kukosa nako kuna mambo hayaa 2, kufa au kupona, ukipata unafurahia, ukifaa, kuna mambo hayooi mawili, uende mbinguni au motoni, ukienda mbinguni shukuru, ukienda jehanamu kuna mambo mawili.......wanakuambia kwenye maisha kuna vitu hivi viwili kupata na kukosa!
Si za kisports sports aiseeeeTransfoma hazitaki ujinga...! Zimeamua kujilinda zenyewe
Jambasi
Hapo kona ya hostel za BugandoWapi hapo mkuu?
Hapana anarekodi wimbo wake mpya katika studio za wasafi recods.hapo kafa au
Hiyo ngoma hapo inaitwa 6 face siyo three face tena, shoti yake unakatika katika viungo vyote vya mwili!
Huyo wakati wa kumtoa hapo atakuwa ananukia harufu flani ya nyama mbuzi choma
Hapana huoni anavyojitikisa?hapo kafa au
We unataka album nzima?Kwanini picha ni moja tu
Hivi akikazana kuyatafuta atayapata?Mkuu huyo kapoteza maisha kwa shot ya umeme
Ilitokeq lini hiyo?Hapo kona ya hostel za Bugando
Miaka ka minne hivi iliyopita ingawa sina uhakika sana na muda huoIlitokeq lini hiyo?
Hajafa anasubiri tanesco waje wamtoe.hapo kafa au
Hatari sana.Miaka ka minne hivi iliyopita ingawa sina uhakika sana na muda huo
Atatokela tu anapumzikaHajafa anasubiri tanesco waje wamtoe.