Picha iliyonigusa

Kwa kweli inauma sana, Mungu atupe subra katika wakati huu mgumu na apumzishe roho za marehemu wote mahali pema peponi.
 
Nimeziona picha nyingi kuhusiana na ajali ya meli Zanzibar, lakini picha hii imenigusa kwa namna ya pekee kabisa. Nikiangalia sura zao zisizo na hatia, ninaona kuwa kama taifa, tumewaua malaika hawa bila sababu za msingiView attachment 37064

kwani katika waliokufa kunaaliye kuwa na hatia?

na je nani aliyewauwa? mbona umesema tumeuwa? be specific taja mtu hapa bana
 
Utakuta meli yenyewe ilikuwa haina hata bima, SMZ haitakwepa lawama hii ya kusababisha vifo hivi.R.I.P ndugu zetu mliotangulia mbele ya haki kwa uzembe wa SMZ
 
inasikitisha sana.....hasa ninapofikiri walipotumbukia baharini walifanyaje......hawakuweza kujiokoa wala kujua ni nini kinaendelea.....kweli inauma.....

Eh ... Imagination yako loh ... imenipeleka kwenye tukio lenye hasa ... very very painful .. RIP to all those BABIES !!
 
Inauma zaidi pale wjanapotuambia meli haina mmliki inamaana haikua imesajiliwa? Na kama imesajiliwa ni kwa jina gani? Kama haijasajiliwa ni kwanini ifanye kazi? Wizara husika iwajibishwe
 
kwani katika waliokufa kunaaliye kuwa na hatia?

na je nani aliyewauwa? mbona umesema tumeuwa? be specific taja mtu hapa bana
Ninachomaanisha Mkuu Gango ni kuwa vifo hivi, kwa kiasi kikubwa, vimetokana na uzembe wetu. uzembe wa nani? Mimi niona ni sote kama jamii tumeshiriki. Ndio, viongozi walikwua na dhamana ya kuhakikisha yanaliyotokea yanazuiwa kwa kusimamia kwa makini sekta zao za utandaji, lakini siisi wananchi naamini tuna dhamana kubwa zaidi ya kwuasimamia waviongozi na watendaji hawa. Kama wananchi hatujafanya ya kutosha kusimamia viongozi wetu. wamekuwa wakikosea mara kwa mara lakini hatujaonekana kuwaadhibu kwa kiasi cha kutosha.
naamini kuwa kama kila mmoja angetimiza majukumu yake ipasavyo, kuanzia mimi kama mwananchi wa kawaida, watu hawa na watoto hawa wasingepoteza maisha yao namna hiyo. Si rahisi kumlaumu mtu mmoja au kikundi kidogo tu cha watu kwa ajali hii. Mimi naamini ni suala la kimfumo zaidi kuliko uliochangiwa na kuchochochea yaliyotokea yatokee. ndicho njilichomaanisha
 
Mkulungwa anasikitika ama vipi? naona kama kuna ka smile hivi tafauti na Dr

attachment.php

nadhani kwake hii ni kafara kurudisha umaarufu uliopotea...na nyota yake kuzidi kung'ara!
 
Tangu lini JK alisikitika?? Hana uchungu huyo hata chembe!! Angekuwa na uchungu TZ na watu wake wasingekuwa hivi!!
ulitaka avue shart uchungu unaujua au wasema acha mambo ya chama hapa ni simanzi kwa tz damu yetu kwa wote
Conquest- RIP
 
Back
Top Bottom