duuh!cdm hii sasa sifaaaa...huyu ni mb.silinde tazama nyomi yake
Huyu ni mb.silinde tazama nyomi yake
Huyu ni mb.silinde tazama nyomi yake
Wamevaa tshirts za ACT mnasema chadema......
ALL IN ALL VIVAA CHADEMA Sio tshirts za ACT ni jezi za mbeya city FC si unajua tunduma ipo mkoani Mbeya
mtaelewa tu taratibuMimi namshauri ZZK amwambie Mwenyekiti wake na Katibu waitishe mkutano Songea. au Mwanza ili tujue Act ni chama au Act ni ZZK?. Naomba mtu yeyote wa Act au Mwalimu Kaijage amshauri Nuru ya chama .
ni mkutano wa wapi ? na umefanyika wapi ?
Hiyo mikusanyo inawadanganya waambieni wapige kura,
ni mkutano wa wapi ? Na umefanyika wapi ?