- Thread starter
- #21
wamevaa tshirts za act mnasema chadema......
All in all vivaa chadema
kiongozi humuoni hata mh. Silinde amevaa gwanda hapo kwa mbele? Hamna cha act hapo.
wamevaa tshirts za act mnasema chadema......
All in all vivaa chadema
weka picha inayomwonyesha silinde
kumbe mbeya city fc ni act
Chadema ni chama kinachokubalika na watanzania wote wazalendo .
Hapo ni Busega na John Mnyika mkuuni mkutano wa wapi ? na umefanyika wapi ?
Umekosea ni wachagga wote.