Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,437
- 3,258
Arabs invasion in east africa after being arrested by americans.hapa kazi ipo,let us see the end of the game coz it very health & harmful to our nation security.
kaka hilo jina unaloliona hapo juu ni jina langu halisi mimi ni mpogoro wa mahenge ninatoka kwenye familia yenye ujazo wa mapadri wa kutoha kabisa,lengo langu ni kuleta mizania ya haya matukio lakini umeingia kichwa kichwa na kuniunganisha na waislam ambao sihusiki nao kabisa ila kama mtz lazima haya mambo yaniguse ndio maana nikauliza maswali yote haya.hata hivyo mimi ni mpagani wa halali kabisa kwa sababu sioni faida ya dini na ni muabudu mizimu wa maana kabisa.fikiri mpaka leo wanangu hawajawahi kwendamsikitini au kanisani hata mara moja ila haituzuii kujua kwamba kuna jambo ambalo nk kubwa kuliko majambo yote tunaloliamini kwamba ndie mungu sio hizi dini zenu za kikoloni mkuu.natoa hoja.mbona ukweli uko wazi kuwa Sheh Farid ameamua kujificha ili kuhalalisha uvunjaji wa amani, kwanza alihamasisha watu wachome makanisa bila sababu sasa ameona a-FAKE kukamatwa. Kumbukeni Mola hujibu kila ombi na chozi la mja wake, angalieni mazahama yanayoikumba zanzibar toka mulivyoanza kuharibu mali, mnataka mabalaa zaidi?!, endeleeni na uongo wenu.
Nawasikitikia ndugu zetu weusi wa Zanzibar, kumbe wanashabikia kurudishwa tena utumwani na waarabu kwa ajili ya kupewa tende. Hakuna cha uislam hapo, agenda ni kutawaliwa na waarabu mara ya pili.
Hawa
ndugu zetu waislam
hata tukisema tuwaachie nchi waishi wenyewe, bado wataanzisha mzozo kama
ilivyo Somalia.Watajitokeza watu waanze kudai wanataka waislamu wote
wafuate dhehebu la washia.Halafu hawa usalama wa Taifa sijui wako
wapi!!.Ama kazi yao ni kuwashughulikia wanasiasa wa upinzani Tu?. Maana
hii redio Imani pamoja na Ponda wao maneno wanayoongeaga ni hatari sana
kwa Amani ya nchi yetu. ni uchochezi mtupu!1. Hii hali ikiendelea
nadhani yatakuja kutokea maafa makubwa sana huko mbeleni. Maana hata
sisi wakristu uvumilivu utatushinda
1. Nyie ni weupe sana kwa vile mlitakatishwa kwa kufanywa watumwa hadi akili zenu!nawashangaa watangnyka wanavyowachukia waarabu au kwasabbu nyng mmeubwa weusi tii na machogo makubwa
Hawa ndugu zetu waislam hata tukisema tuwaachie nchi waishi wenyewe, bado wataanzisha mzozo kama ilivyo Somalia.Watajitokeza watu waanze kudai wanataka waislamu wote wafuate dhehebu la washia.Halafu hawa usalama wa Taifa sijui wako wapi!!.Ama kazi yao ni kuwashughulikia wanasiasa wa upinzani Tu?. Maana hii redio Imani pamoja na Ponda wao maneno wanayoongeaga ni hatari sana kwa Amani ya nchi yetu. ni uchochezi mtupu!1. Hii hali ikiendelea nadhani yatakuja kutokea maafa makubwa sana huko mbeleni. Maana hata sisi wakristu uvumilivu utatushinda
kwani ugaidi una alama?
au nawe unamaanisha gaidi ni mwislam anayefuata dini. tusiimbe mwimbo tusioujua hayo ndo maneno ya marekani amewawekea mdomoni na nyie mnaimba niambie gaidi nia nini? na nani gaidi, bush anayepanga matukio ya kujilipua na kuangamiza taifa huru la afghan?