Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,391
- 2,000
Mandela atazikwa nyuma ya nyumba (pink colour) yake katika kijiji cha Qunu ambapo Wakuu wa nchi 70 watahudhuria.
Mahasimu wakubwa kama Robert Mugabe (Zimbabwe) vs David Cameron (Uk) watakutana uso kwa uso. Pia Raul Castro[/B] (Cuba) na yule Iran (Hassan Rouhani) vs Barack Obama (USA)
Madiba atalazwa kwenye nyumba yake ya milele Jumapili ambapo Raisi Obama atawahutubia waombolezaji.
"Living isnt just about doing for yourself, but what you do for others as well" Nelson Mandela.
Pumzika mahali Pema Madiba

Mahasimu wakubwa kama Robert Mugabe (Zimbabwe) vs David Cameron (Uk) watakutana uso kwa uso. Pia Raul Castro[/B] (Cuba) na yule Iran (Hassan Rouhani) vs Barack Obama (USA)
Madiba atalazwa kwenye nyumba yake ya milele Jumapili ambapo Raisi Obama atawahutubia waombolezaji.
"Living isnt just about doing for yourself, but what you do for others as well" Nelson Mandela.
Pumzika mahali Pema Madiba
