Wanawake wapo (see attached...)... Japo wachache... Huyo mwanadada aliyepo upande wa kulia ni nani???
Kama sijakosea nafikiri ni Samia Suluhu.
Wanawake wapo (see attached...)... Japo wachache... Huyo mwanadada aliyepo upande wa kulia ni nani???
lakini hao Waheshimiwa (Mnaowaita) wanafiki si mnawachaguwa nyinyi Wenyewe? sasa lawama za nini jamani?
Msiwatukane Viongozi wetu jamani kuweni na Heshima kama hamuwataki musiwachague tena kwenye Uchaguzi
Ujumbe upo wazi, Viongozi wote wa serikali ya Mapinduzi Zanzaibar hawakuvaa uniform ya kijani ya ccm.
lakini hao Waheshimiwa (Mnaowaita) wanafiki si mnawachaguwa nyinyi Wenyewe? sasa lawama za nini jamani?
Msiwatukane Viongozi wetu jamani kuweni na Heshima kama hamuwataki musiwachague tena kwenye Uchaguzi
Huu ni ukumbi wa IKULU yetu sote WATANZANIA. Kikao hiki cha CC ya CCM kimeukodi?
mwanamitindo huyo
Halafu nanihii alivyokaa kama model maana kiuno kinakaa wima
Mie naona kama Mh. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi anaonekana kususia kikao, kwa nini?
Pichani Raisi Karume anaonekana microphone yake ipo mbali naye kama vile aliisogeza mbali atimke.
Pia Mh.Raisi Karume anaonekana kukusanya makabrasha ajiondokee, huku vigogo wengine wakionekana kushangaa na kupigwa bumbuwazi.
Wengine ktk picha wanaonekana kujaribu kumsihii Mh. Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi 'usiondoke'