Tuijadili wakuu.View attachment 1480779
Mbona rahisi tu, Ipo hivi kuna watu wanaendelea kubakia kwenye vifungo vya ugumu wa Maisha kwa sababu ya kuweka mbele sana Matumbo yao ambayo ni changamoto ya muda bila kushughulikia Changamoto Kubwa ya Maisha ambayo ni Elimu na Afya Njema.
Picture can tell thousands, Mimi Naona huyo jamaa anataka kujitwisha hilo grili aondoke naloTuijadili wakuu.
View attachment 1480779
IPO HIVI ~mkuu njaa imehama tumboni imehamia kichwani na imeharibu akiliTuijadili wakuu.
View attachment 1480779
Tuijadili wakuu.
View attachment 1480779
Hii picha haitaki hata maelezo imekamilika kabisa.Tujadili kwanza hii! View attachment 1480784
Sasa napata maana kamili aiseeMbona rahisi tu, Ipo hivi kuna watu wanaendelea kubakia kwenye vifungo vya ugumu wa Maisha kwa sababu ya kuweka mbele sana Matumbo yao ambayo ni changamoto ya muda bila kushughulikia Changamoto Kubwa ya Maisha ambayo ni Elimu na Afya Njema.
Huku mi sipooTujadili kwanza hii! View attachment 1480784
Kumbe ukituliaga hua unatoa madini hivyo😁Inamaana umaskini wa fikra ama ujinga ama u zero brain siku zote utaendelea kukufanya uwepo hapohapo ulipo kwa kushindwa kung'amua upi ni usahihi zaidi..
Hii pia inatoa tafsiri kuwa ni heri kuwa huru kuliko kuwa mfungwa huku ukichaguliwa cha kula badala ya kuwa huru ukijichagulia chakula!..
Tafsiri nyengine ni kuwa ni umaskini wa fikra na tamaa ya Mali ni janga linaloziba mafanikio yako,hivyo kuwa kama kaburi unalojichimbia mwenyewe na kujizika bila kujua..
Leta picha nyengine hii nyepesi sana nitaionea..😜😂😅
Huo ni upande wangu mwengine wa shilingi mama sipendagi tu kuuonyesha... Mbona kutafsiri picha humu nilishawahi shinda buku kumi! Hii chamtoto!..Kumbe ukituliaga hua unatoa madini hivyo😁
Hii inaapply pale baba wa taifa alivyosema kuhusu Ujinga, Umaskini na Maradhi. Hakika aliona mbali, na kwa hali hyo maendeleo mtu atayasikia redioni.
Hahahaa uwe unaplay kotekote bana ndo vizuriHuo ni upande wangu mwengine wa shilingi mama sipendagi tu kuuonyesha... Mbona kutafsiri picha humu nilishawahi shinda buku kumi! Hii chamtoto!..
Wacha niendelee na upande huu wa ukorofi mama ili na Ban zinihusudu..😜😅
Itumie nafasi yako kunifanya niplay kotekote..😜Hahahaa uwe unaplay kotekote bana ndo vizuri