Picha: Hii imekaaje?

Status
Not open for further replies.
Skiza nikuambie,watu wa usalama wa taifa wanajua kwanini kiongozi au viongozi wanaposalimiana kwa kushikana mikono walinzi wanakuwa makini mno,fuatilia picha nyingi alafu angalia macho au mikono ya walinzi utagundu.
Umakini sawa,ila hilo la kumdaka mtu mkono hapana
 
Hao ndio zao! . Jamaa alipaswa akiishasalimiwa auachie mkono hivyo ikambidi jamaa wa usalama aingilie kati kuuzuia mkono ili kuwaachanisha!.

Pasco
Huwezi ukaung'ang'ania mkono wa Rais usije kumdhuru. Tena nadhani walimheshimu huyo jamaa manake nijuavyo jamaa hupiga mkono wa mtu na kumuachia maumivu makali huku wanaondoka na Rais.
 
Sisi bado sana ! Mambo hayo ulaya huyaoni kabisa kwani huwa wanajua kuwa eneo Ni salama muda mrefu kabla ya ujio Wa Raid na ndio maana unaweza kuta Raid anapiga story na mtu hata kwa dakika Mona hivi.
Sasa Pasco kama Rais bado alikuwa anateta jambo na muhusika inakuwaje?Haya mambo sijaona sehemu nyingine
 
Unazungumziaje mkono wa kushoto wa Rais ambao hata begani kwa anayesalimiana naye haujafika!huoni kuwa salamu ilikuwa ikiendelea
 
Huwezi ukaung'ang'ania mkono wa Rais usije kumdhuru. Tena nadhani walimheshimu huyo jamaa manake nijuavyo jamaa hupiga mkono wa mtu na kumuachia maumivu makali huku wanaondoka na Rais.
Rais angekuwa ameng'ang'aniwa ingeonekana,lakini mkono wa Rais bado umetoa ushirikiano!Pia mkono wa kushoto wa Rais ndio kwanza ulikuwa unaenda kutua begani kwa bwana shekhe!
 
Hatujawahi kuwa na askari weledi nchi hii. Type yao ni ile ya colonial times, kupenda ukatili na kuogopwa!. Huenda Ndio system ya kijani!
 
Asante kwa Maelezo ya ziada
 
Hatujawahi kuwa na askari weledi nchi hii. Type yao ni ile ya colonial times, kupenda ukatili na kuogopwa!. Huenda Ndio system ya kijani!

Hiyo ni mifumo ya kizamani,sasa hv dunia inatumia angles kulinda viongozi wa juu wa serikali.
 
Hao mameya wa CDM si walitoa tamko la kutohudhuria shughuli zote zitakazomhusisha rais jijini DSM baada ya ile ya ufunguzi wa Daraja la Kigamboni kisa wanadhalilishwa na kuhujumiwa?

Imekuaje tena?
Uko nje ya mada,kaanzishe uzi tujadili hilo!
 
Sasa Pasco kama Rais bado alikuwa anateta jambo na muhusika inakuwaje?Haya mambo sijaona sehemu nyingine

Ilishatokea kwa Rais Hamid karzai wa Afghanstan alitembelea maeneo fulani nje ya Kabul kuna mtu alisalimiana na Rais aliushika mkono kwa muda dk kadhaa zaidi akavutwa kwa nyuma haraka kama umeme.
 
Halafu Pasco ukiangalia mkono wa kushoto wa Rais uko hewani haujatua kwenye bega la anayesalimiana naye so inaonesha salamu ilikuwa haijakamilika!
Kwa mtazamo wangu, jamaa alinyoosha mkono kumsalimia Magufuli na kulikuwa hakuna mpango wowote wa kusaliami, jamaa wa usalama akawa anajaribu kumzuia aidha kwa kutojua dhumuni la huyo mtu ni nini au kumwondolea rais usumbufu lakini kutoka na huungwana wa rais hakaamua kumsalimia wakati jamaa wa usalama hanazuia mkono.
 
Huyo ni wakili na ndiye aliyewatetea wananchi wa eneo hilo mpaka Leo serikal imesikia!Kiufupi ndiye mtu aliyesimama kwa niaba ya wananchi!He is not just nobody
 
Hiyo ni mifumo ya kizamani,sasa hv dunia inatumia angles kulinda viongozi wa juu wa serikali.
USA wanatumia radius!wamezipa majina hizo zones zao,kuna radius kama 6 kama nakumbuka vizuri kabla ya kufika kwa Rais!Mpaka unafika inner radius basi tayari wameshahahakisha kuwa wewe ni harmless
 
USA wanatumia radius!wamezipa majina hizo zones zao,kuna radius kama 6 kama nakumbuka vizuri kabla ya kufika kwa Rais!Mpaka unafika inner radius basi tayari wameshahahakisha kuwa wewe ni harmless

Hapa kwetu wanatumia nini?
 
Reactions: MC7
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…