Wanachama wa Chadema katika Mkutano uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa
Katika mkutano huo mjini Kayanga, ambako Dk Slaa alisema Chadema haioni wivu wa kubuni sera na CCM ikatekeleza kwa manufaa ya watanzania
View attachment 72305
Wajumbe wakiwa katika Baraza la Ushauri wilayani Karagwe, Kagera. Hawa ni viongozi wa majimbo, wilaya na mkoa mzima. Ni utaratibu ambao ni endelevu.
View attachment 72306
View attachment 72307
Mwenyekiti wa Chadema mkoani Kagera, Wilfred Rwakatare akifungua mkutano.
Mkuu Hoyce!
Umenifariji saaaaaaaana KAMANDA WANGU. Kuna Mwana-MAGAMBA mmoja alituvuruga hapa, eti "MAPOKEZI YA DR. SLAA YADODA KARAGWE". Mungu atamlaani yeye na uzao wake wote.
Najaribu kulinganisha hii ya Karagwe na Arusha ambako Mr. ELEPHANT anaadhirika nyumbani kwake. Yaani uwanja ni mtupu kabisa. Hata mkutano wa Diwani wa CHADEMA huwa unajaa kuliko huu wa leo hapo Arusha.
KWA VILE CHADEMA TUNA MUNGU HAKIKA MAGAMBA WAJIANDAE NA KILIO 2015. Kasi hii si mchezo.
nafarijika saaaaaaaaaaaaanaaaa!!!!!