Picha: Hali ya Telaviv ni mbaya

Picha: Hali ya Telaviv ni mbaya

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,120
Reaction score
24,396
Hiki ni kipigo cha usiku kucha cha makombora ya Iran

Wanapigwa kama mbele yaani wamechokoza nyuki sasa wanaplay Victim card

Na haya yote utasikia walokufa ni watano tu.....Wazee wa kuficha madhara

Hizi picha zimeleak kwa shida sana maana wameondoa live Coverage zote

Israelis no longer receiving proper warnings of Iranian strikes.

Iran has wiped out the entire US THAAD and Patriot radar system in the Gulf using $50k drones. It will cost billions and take a decade to replace.

INCREDIBLE BREAKING NEWS
TEL AVIV TONIGHT: IT'S TOTAL CHAOS

Iranian missiles raining down relentlessly, residential neighborhoods torn apart, buildings gutted, craters in the streets, black smoke everywhere
Direct impacts confirmed, mounting human casualties, severe injuries from shrapnel and debris

20260310_034238.jpg
20260310_034228.jpg
20260310_034230.jpg
20260310_034605.jpg
20260310_034607.jpg
20260310_034610.jpg
20260310_034613.jpg
 
INCREDIBLE BREAKING NEWS
TEL AVIV TONIGHT: IT'S TOTAL CHAOS

Iranian missiles raining down relentlessly, residential neighborhoods torn apart, buildings gutted, craters in the streets, black smoke everywhere
Direct impacts confirmed, mounting human casualties, severe injuries from shrapnel and debris
 
Israel kachomeshwa na USA anaua watu wake kijinga sana hapo watawadanganya mapimbi kuwa wote walikua kwenye shelter haya hao zima moto wanafanya nini na wametoa macho balaa..
Sijui huwa wanawaza nini kuanzisha vita isiyo na kichwa wala miguu huku wakijua madhara yake ni makubwa sana..
 
Hiki ni kipigo cha usiku kucha cha makombora ya Iran

Wanapigwa kama mbele yaani wamechokoza nyuki sasa wanaplay Victim card

Na haya yote utasikia walokufa ni watano tu.....Wazee wa kuficha madhara

Hizi picha zimeleak kwa shida sana maana wameondoa live Coverage zote

Israelis no longer receiving proper warnings of Iranian strikes.

Iran has wiped out the entire US THAAD and Patriot radar system in the Gulf using $50k drones. It will cost billions and take a decade to replace.

INCREDIBLE BREAKING NEWS
TEL AVIV TONIGHT: IT'S TOTAL CHAOS

Iranian missiles raining down relentlessly, residential neighborhoods torn apart, buildings gutted, craters in the streets, black smoke everywhere
Direct impacts confirmed, mounting human casualties, severe injuries from shrapnel and debris

View attachment 3555840View attachment 3555841View attachment 3555842View attachment 3555843View attachment 3555844View attachment 3555845View attachment 3555846View attachment 3555848View attachment 3555849
Kwa sasa Manzese inaonekana nzuri kuliko Tel Aviv.
 
Hiki ni kipigo cha usiku kucha cha makombora ya Iran

Wanapigwa kama mbele yaani wamechokoza nyuki sasa wanaplay Victim card

Na haya yote utasikia walokufa ni watano tu.....Wazee wa kuficha madhara

Hizi picha zimeleak kwa shida sana maana wameondoa live Coverage zote

Israelis no longer receiving proper warnings of Iranian strikes.

Iran has wiped out the entire US THAAD and Patriot radar system in the Gulf using $50k drones. It will cost billions and take a decade to replace.

INCREDIBLE BREAKING NEWS
TEL AVIV TONIGHT: IT'S TOTAL CHAOS

Iranian missiles raining down relentlessly, residential neighborhoods torn apart, buildings gutted, craters in the streets, black smoke everywhere
Direct impacts confirmed, mounting human casualties, severe injuries from shrapnel and debris

View attachment 3555840View attachment 3555841View attachment 3555842View attachment 3555843View attachment 3555844View attachment 3555845View attachment 3555846View attachment 3555848View attachment 3555849
Wacha watwangane kisawasawa. Iran wanadai aliyepewa Urais ndio mwehu kabisa, bora aliyekufa.
 
Israel kachomeshwa na USA anaua watu wake kijinga sana hapo watawadanganya mapimbi kuwa wote walikua kwenye shelter haya hao zima moto wanafanya nini na wametoa macho balaa..
Sijui huwa wanawaza nini kuanzisha vita isiyo na kichwa wala miguu huku wakijua madhara yake ni makubwa sana..
Alieshiba hamjui mwenye njaa.

Namaanisha hayo yanayowakumba raia wa Israel kwa sasa, wala hayamsononeshi Netanyahu kwa namna yoyote ile, sababu yeye familia yake tayari ashaikimbizia nje ya nchi kitambo.

Na isitoshe ana nyumba na biashara zake kule Marekani na kwao Poland. So hata wakifa raia wote na Tel Aviv kugeuka jangwa, yeye hana cha kupoteza as long as yeye anapata kafara ya damu kupitia vifo vyao.
 
Israel kachomeshwa na USA anaua watu wake kijinga sana hapo watawadanganya mapimbi kuwa wote walikua kwenye shelter haya hao zima moto wanafanya nini na wametoa macho balaa..
Sijui huwa wanawaza nini kuanzisha vita isiyo na kichwa wala miguu huku wakijua madhara yake ni makubwa sana..
Yaani watu wakae baraza zima wanaoijua nchi yao wakaanzisha mashanbulizi wewe mmatumbi unasema wameanzisha vita haina kichwa wala miguu? Mambo mengine tuwaachie wao ndio wanajua vizuri nini wanataka sisi tuwe watizamaji tu na muda utatoa majibu sahihi.
 
Yaani watu wakae baraza zima wanaoijua nchi yao wakaanzisha mashanbulizi wewe mmatumbi unasema wameanzisha vita haina kichwa wala miguu? Mambo mengine tuwaachie wao ndio wanajua vizuri nini wanataka sisi tuwe watizamaji tu na muda utatoa majibu sahihi.
Wazungu wajinga tu si unaona watu wanavyokufa huko Dunia ya sasa hivi hawatatui migogoro kwa Vita ndio maana Spain walikataa ardhi yao kutumia kuweka base pale nyi Wandengereko mnadhani kila wanachoamua wazungu wapo sahihi ujinga ni ugonjwa mbaya sana aisee..
 
Hawa wanaoshabikia si ajabu October 29 hata kwenda dukani kununua mkate hawakuweza. Na wengine siku ya tatu wakaanza kulalamika karantini iishe

Ila kwenye vita za wenzetu mnavyojifanya wachambuzi na mashabiki. Heartless cowards
 
Wazungu wajinga tu si unaona watu wanavyokufa huko Dunia ya sasa hivi hawatatui migogoro kwa Vita ndio maana Spain walikataa ardhi yao kutumia kuweka base pale nyi Wandengereko mnadhani kila wanachoamua wazungu wapo sahihi ujinga ni ugonjwa mbaya sana aisee..
Sio ujinga wewe ndio utakuwa mjinga zaidi. Watu ni nchi yao wameamua wenyewe kwa utashi wao na interest zao wewe yasiyokuhusu unawaona wajinga? Unajielewa kweli? Tuendelee kukimbisana na ccm huku na wakina Dc Magoti.
 
Back
Top Bottom