Kama hao wanavipaji, Leonardo da vinci tumuiteje...?
Huyo Da Vinci mwenyewe akasome kwa Michelangelo......
Huyo Da Vinci mwenyewe akasome kwa Michelangelo......
Nyie muache utani... hivi mnajua Maana ya Polymath.?Hatii mguu hapo hio mizigo ni 3D na ni spray kama huwez kuchora hata panzi ni lazima uone kaz rahis hizo hapo juu
Ndio jamaa alikua anachonga mpaka mishipa mpaka effect za upepo .... Anachonga then anachora alikuwa hatari. Da vinci akasome upyaWhat a bomboclaat! Hio sio statue mkuu?
Sasa kwani hapa tunaongelea masomo hapa ni sanaaaa ya uchoraji tu bayo maingi wake ni kuchonga.... Kama masomo kamtafute Tesla. Mnafeli kujitia ujuaji eti biology tunaongelea phyiscs hapa!!??Nyie muache utani... hivi mnajua Maana ya Polymath.?
Michelangelo anashindanishwa na Davinci kwenye uchoraji tu.. wakati Vinci alikua anaweza kupafomu task zooooote dunia unazozijua tena kwa kiwango cha hali ya juu. Muziki,sayansi,anga,Phizikia,Biology,Unajimu,Ugunduzi nk nk nk....
Heshima yake Mkuu.
Michelangelo amemza kuchora 3D miaka ya 1500 tena sio kuchora tu na kuchonga ...unayoona masanamu italia ugiriki karibu 70%ni kaxi yake... Jamaa alikuwa anasema kabla ya kuchora unatakiwa kujua kuchonga ili uchore ... Da vinci aliteseka sans
huyo ni Wizard. ..hawa hawaoni ndani hata kidogoKama hao wanavipaji, Leonardo da vinci tumuiteje...?
Acha matusi mdogo!1000110 1110101 1100011 1101011 100000 1111001 1101111 1110101 100000
Reply if you can...!!
Congratulations for decoding the code..Acha matusi mdogo!
Its all about digitall ElectronicsCongratulations for decoding the code..
achana kubishana hamfaham viking huyoPieta moja ya kazi zake bora hii ni 1498 tafakari alikuwa na uwezo gani
Huyu katisha.
Naomba kuwa na copy yako au wewe mwenyewe kama inawezekanaHuyu katisha.
Nitakupa copy yangu mkuuNaomba kuwa na copy yako au wewe mwenyewe kama inawezekana
Nitashukuru sana. Lini utanitumia mkuu ?Nitakupa copy yangu mkuu
Unaweza ukataka kuingia humo ndani kama hujaona mwanzo akiwa anachora