Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,446
Ni nani yak?Kama hao wanavipaji, Leonardo da vinci tumuiteje...?
1000110 1110101 1100011 1101011 100000 1111001 1101111 1110101 100000Ni nani yak?
Ni baba yako au?
Ilhali kwenye familia yenu hakuna hata mmoja aliyevumbua hata gari la mabox
KejeidhdjdjdhdjdjsjejdhdhshjsjsjsNi nani yak?
Ni baba yako au?
Ilhali kwenye familia yenu hakuna hata mmoja aliyevumbua hata gari la mabox
matusi sasa!Ni nani yak?
Ni baba yako au?
Ilhali kwenye familia yenu hakuna hata mmoja aliyevumbua hata gari la mabox
Huyo Da Vinci mwenyewe akasome kwa Michelangelo......Kama hao wanavipaji, Leonardo da vinci tumuiteje...?
Hatii mguu hapo hio mizigo ni 3D na ni spray kama huwez kuchora hata panzi ni lazima uone kaz rahis hizo hapo juuKama hao wanavipaji, Leonardo da vinci tumuiteje...?
Michelangelo amemza kuchora 3D miaka ya 1500 tena sio kuchora tu na kuchonga ...unayoona masanamu italia ugiriki karibu 70%ni kaxi yake... Jamaa alikuwa anasema kabla ya kuchora unatakiwa kujua kuchonga ili uchore ... Da vinci aliteseka sansHatii mguu hapo hio mizigo ni 3D na ni spray kama huwez kuchora hata panzi ni lazima uone kaz rahis hizo hapo juu
Pieta moja ya kazi zake bora hii ni 1498 tafakari alikuwa na uwezo ganiHatii mguu hapo hio mizigo ni 3D na ni spray kama huwez kuchora hata panzi ni lazima uone kaz rahis hizo hapo juu
What a bomboclaat! Hio sio statue mkuu?Pieta moja ya kazi zake bora hii ni 1498 tafakari alikuwa na uwezo gani