Picha: FFU Demo in Mbeya

Picha: FFU Demo in Mbeya

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,773
Reaction score
5,931
20231109_160715.jpg
 
Safi sana na kazi nzuri kwa askari mwetu wakakamavu na waliotayari kuwadhibiti wahuni muda wowote ule watakaojaribu kuleta chokochoko .Mdude alipowaona hao ikabidi akajifiche vichakani huko na mibangi yake. Mpaka muda huu ameendelea kujificha kama panya.
 
Safi sana na kazi nzuri kwa askari mwetu wakakamavu na waliotayari kuwadhibiti wahuni muda wowote ule watakaojaribu kuleta chokochoko .Mdude alipowaona hao ikabidi akajifiche vichakani huko na mibangi yake. Mpaka muda huu ameendelea kujificha kama panya.
Kwenda zako huko
 
Safi sana na kazi nzuri kwa askari mwetu wakakamavu na waliotayari kuwadhibiti wahuni muda wowote ule watakaojaribu kuleta chokochoko .Mdude alipowaona hao ikabidi akajifiche vichakani huko na mibangi yake. Mpaka muda huu ameendelea kujificha kama panya.
Mkuu, punguza hicho kitu unatumia. Ni hatari kwa afya yako.
 
Sasa silaha za msaada za nini hapo?
Hakuna adui mwenye silaha ya moto,,,, aya hizo boot za nini? Showtime
 
Safi sana na kazi nzuri kwa askari mwetu wakakamavu na waliotayari kuwadhibiti wahuni muda wowote ule watakaojaribu kuleta chokochoko .Mdude alipowaona hao ikabidi akajifiche vichakani huko na mibangi yake. Mpaka muda huu ameendelea kujificha kama panya.
Watoa taarifa wanaandamana lini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom