habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
kwanini asipendeze wakati anamtumaini Mungu na sio mwanadamu?Mzee wetu Lowassa akiwa katika mapumziko ya mwisho wa mwaka shambani kwake Handeni.
Mungu akupe na akuzidishie afya mzee wetu usiyependa makuu. View attachment 451382