kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
acheni uongo Dr slaa alikuwa na njia zake.tena alizua vurumai pale wanachama wa cuf wakidai cdm ni wabinafsi bunge mpaka wengine walitemea mate gari yake na kutoa maneno machafu.kwa nini? Watu si wakweli kila kitu ni ushabiki tu.semeni hali halisi ili watu wajifunze na wapate habari za kweli
Mbona hutaki kusema alikuwa VATICAN?Alikuwa anawasili toka Itali, doctor huyu ni muungwana sana. Bg up mheshimiwa
ulichoandika kinafanana na wewe!acheni uongo Dr slaa alikuwa na njia zake.tena alizua vurumai pale wanachama wa cuf wakidai cdm ni wabinafsi bunge mpaka wengine walitemea mate gari yake na kutoa maneno machafu.kwa nini? Watu si wakweli kila kitu ni ushabiki tu.semeni hali halisi ili watu wajifunze na wapate habari za kweli
Haya mapokezi ya Lipumba tulitaarifiwa hapa jamvini siku kadhaa zilizopita, tukaandikiwa na kiasi cha pesa kilichotengewa kazi hii. Kutokana na mahusiano baina ya CUF na CCM, kulikuwa na uzembe wa halli ya juu kwa upande wa CDM kushindwa kupanga Dr Slaa kuwasilli muda tofauti na ule au hata siku tofauti. Kwa chama kinachotarajiwa kushika dola, haya si mambo ya kuvumilia. Lazima mtu awajibishwa kwa Dr Kudhalilishwa. Tuachane na ushabiki.acheni uongo Dr slaa alikuwa na njia zake.tena alizua vurumai pale wanachama wa cuf wakidai cdm ni wabinafsi bunge mpaka wengine walitemea mate gari yake na kutoa maneno machafu.kwa nini? Watu si wakweli kila kitu ni ushabiki tu.semeni hali halisi ili watu wajifunze na wapate habari za kweli
naikumbuka ile siku uliyoikana cuf ukijinadi kuwa huna chama chochote. Ningeshangaa sana mfia dini usiwe cuf. Anyway, kusanyikeni msikitini muunde chama kingine, hiki kimekufa tayari. Hamad rashid ndiye wa kuikafini maiti ya cuf
siwezi shangaa wacheza bao misikitini
Utakufa wewe, utaomba miungu wako lakini CUF itabaki inanawiri ..endelea kuota..lol
kama chama kina wabaguzi wa dini namna hii, vp kinaota kushika hatamu ya uongozi wa nchi?[/QUOT
Kuna weza kuwa na uhalisia wa kauli yako,labla tuangalie ni kweli kuwa Zanzibar hakuna CHADEMA,na matokeo kwenye uchaguzi wanapata nini,ni kweli Pwani hakuna TLP,CHADEMA na vingine?lakini matokeo yakoje,kiuhalisia mchokoza mada anadhani ni vyema watu tukatanuka kimawazo na si msukumo wa kidini au uchochezi wa kidini.Pia sidhani kama kuna haja ya mijadala inayogusa dini au hisia za mtu kutokana na imani yake.Keep up with positive ideas gntle man.