Picha: Dr Slaa akikwea pipa, sijui akielekea wapi?

Picha: Dr Slaa akikwea pipa, sijui akielekea wapi?

Hata Lipumba baada ya kumaliza kazi yake aliyotumiwa aliondoka tulishamsahau Dr.Slaa kila la heri tutakusahau tu. bado mapambano yanaendelea
 
Bibie Josephine yuko wapi? Yasije kumkuta kama yale ya July 27 alivyorudi home saa 9 usiku!!!!!

Nimeishia kucheka lakini nimekumbuka maneno -
Kosea kila kitu lakini siyo kwenye kuoa .
Lipumba tulishamsahau kabisa anayefuata.........
 
Nimesikitika sana. mzee wetu Huyu nataka ya kuangalia watanzania wanataka nini sasa hivi. unashirikiana na hao ambao wana skendo nyingilakini wanaongelea skendo moja tu.nimesikiliza press conference yako.ninakuheshimu.naomba mzee upumzike.
 
Kawaida yao hata yule prof wa uchumi baada ya kumwaga maujinga yake alikimbia. Yote kw yote mwisho wa ck tunawasahau
 
Inaoneka Dr amekwea pipa kwenda kuleta siraha nyingine alizobakiza, sababu alizotumia zimegonga mwamba . watanzania wameshindwa kumuelewa . Dr na wanasheria wawili wameamua kuunganisha nguvu ili wamshitaki mzee lowasa kwenye mahakama za midahalo . Duuh hawa ndiyo wanasheria wetu tulionao wasijua sehemu za kushitaki mtu mwenye makosa .
 
Back
Top Bottom