ndevu mzazi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 687
- 238
- Thread starter
- #21
Wametumia mbinu zile zile hadi nimecheka.
hiki ni kituko sio hofu tena
hiki ni kituko sio hofu tena
sijui familia ngapi zinazo shindia maharage na mihogo zinaweza kumudu gharama
za usafiri wa anga kama sio kufanyana watoto wadogo?
kiongozi mzima anayelipwa mshahara mnono anajisifu kwa umaskini tena haoni hata aibu kusema hata nyumba anayoishi alisaidiwa na mwanaume mwenzie ili hali amefanya kazi bungeni kwa miaka 10, alikuwa anapeleka wapi pesa zake?
yani siwezi kuongozwa na kionngozi ambaye ana umri wa miaka 60+ ameshindwa kuwa na mji wake kwa jasho lake tena alikuwa akipokea mshahara mnono
tujiulize wamarekani wanavyombembeleza bill gates kugombea urais nchini kwao, kiongozi kuwa maskini wa kutupwa ni aibu sana hata kwa waliomchagua sababu ameshindwa kujikwamua yeye mwenyewe atawezaje kuwa kwamua wengine
Sasa anza kukubali kuwa Mh. Mbowe ambaye wanadai alipata division zero ana akili kuwazidi wenye PhD na Prof kama sio kutokuwa na vyeti tu.sijui familia ngapi zinazo shindia maharage na mihogo zinaweza kumudu gharama
za usafiri wa anga kama sio kufanyana watoto wadogo?
kiongozi mzima anayelipwa mshahara mnono anajisifu kwa umaskini tena haoni hata aibu kusema hata nyumba anayoishi alisaidiwa na mwanaume mwenzie ili hali amefanya kazi bungeni kwa miaka 10, alikuwa anapeleka wapi pesa zake?
yani siwezi kuongozwa na kionngozi ambaye ana umri wa miaka 60+ ameshindwa kuwa na mji wake kwa jasho lake tena alikuwa akipokea mshahara mnono
tujiulize wamarekani wanavyombembeleza bill gates kugombea urais nchini kwao, kiongozi kuwa maskini wa kutupwa ni aibu sana hata kwa waliomchagua sababu ameshindwa kujikwamua yeye mwenyewe atawezaje kuwa kwamua wengine
Nimetumiwa picha na mdau zikimuonesha dr kwenye ndege leoView attachment 282927View attachment 282928View attachment 282930
Abaki Tanzania mumteke? Kwa usalama wake inabidi akakae Rwanda walau miezi miwili.
sijui familia ngapi zinazo shindia maharage na mihogo zinaweza kumudu gharama
za usafiri wa anga kama sio kufanyana watoto wadogo?
kiongozi mzima anayelipwa mshahara mnono anajisifu kwa umaskini tena haoni hata aibu kusema hata nyumba anayoishi alisaidiwa na mwanaume mwenzie ili hali amefanya kazi bungeni kwa miaka 10, alikuwa anapeleka wapi pesa zake?
yani siwezi kuongozwa na kionngozi ambaye ana umri wa miaka 60+ ameshindwa kuwa na mji wake kwa jasho lake tena alikuwa akipokea mshahara mnono
tujiulize wamarekani wanavyombembeleza bill gates kugombea urais nchini kwao, kiongozi kuwa maskini wa kutupwa ni aibu sana hata kwa waliomchagua sababu ameshindwa kujikwamua yeye mwenyewe atawezaje kuwa kwamua wengine
Bibie Josephine yuko wapi? Yasije kumkuta kama yale ya July 27 alivyorudi home saa 9 usiku!!!!!