Safi sana Dr, MUNGU atakulinda kama Musa.
Uongo mtupu. Soma alivyofafanua kwenye NIPASHE;
Akiongea na mwandishi wa habari hizi, Dk. Slaa alisema anamshukuru Mungu kuwa hao wanaomzushia kifo wanazidi kumuongezea maisha na kumpa nguvu na kuendelea na kazi zake.
Hizo ni propaganda za watu wasionitakia mema, hivi ninavyoongea na wewe niko katika kijiji cha Nkwenda, Wilaya mpya ya Kyelwa, huku Bukoba ndio nimetoka kuteremka kwenye jukwaa kuongea na wananchi, alisema Dk. Slaa na kuongeza Mimi ni mzima kabisa na nikitoka hapa nakwenda kwenye mkutano mwingine.
Alisema hiyo si mara ya kwanza yeye kuzushiwa kifo, lakini anamshukuru Mungu kuwa wabaya wake wanavyozidi kumzushia habari mbaya wanaendelea kumuongezea siku za kuishi.
Mungu huyo huyo anaekulinda wewe mzoa mavi ya mafisadi.Mungu yupi amlinde mnafiki na Mwizi wa wake za watu?
Zipo nying sana ucjali utazipata. HATARI!jamani hivi ni kweli kuna tshirt zilizoandikwa "HATARI WEKA MBALI NA TEMBO?"kama zipo zinapatikanaje?au kama hazipo tunaomba wanaoweza kuziandaa waziandae alafu watujuze hapa jamvini.
Dr Slaa ndio nuru ya Watanzania. CCM ni giza tupu.
Uongo ndio sera ya CCM!!!Mkuu kuna uzushi kua rais wetu mtarajiwa kapata ajali kuna ukweli kuhus hilo?
Mungu yupi amlinde mnafiki na Mwizi wa wake za watu?
Wanachadema huu ndio umati wa kushtua watu? Hebu kuweni wa kweli jamani hizi sifa mnazojipa sio zitakazowafanya mshinde 2015 .
Chama
Gongo la mboto DSM
Acheni kutuonyesha picha za mwaka 2010!
kwa mikoani na watu hawajalazimishwa wala kusombwa na maroli hawa ni wengi sana..uliona aibu walio ivuna mawaziri na uongozi wa ccm walipo kuwa Arush, cha ajabu wame-edit pics na kusambaza kwenye vyombo vya habari ili kuonyesha walijaza watu..
Sijui mlipozomewa kule Mtwara bado mna imani nako?Mkuu Crashwise
CCM kushinda uraisi si lazima na wala hatuna sababu kushinda Arusha; hiyo ni ngome yenu hapo zoezi lenu la ukabila limekubalika; hata nyie mkienda kwenye ngome zetu yanakuwa yaleyale; nilshasema awali ile idadi ya watu tuliyoipata ni wengi sana hasa ukizingatia hali halisi ya kisiasa Arusha; sijui ukweli wa kukakachua picha ila kama limefanyika halikuwa na ulazima
sisi bado tunakubalika kwenye baadhi za wilaya Arusha sioni hofu yoyote 2015 ni yetu tena kwa kishindo
Chama
Gongo la mboto DSM
Sijui mlipozomewa kule Mtwara bado mna imani nako?
Sijui mlipozomewa kule Mtwara bado mna imani nako?