Chadema mmekuwa viziwi??? Mbona yule mzee wa kuchapa usingizi bungeni na taarabu zake pamoja na waziri mpya waliwapiga marufuku??
Dr. Slaa hukusikia? B/up saaaana tu Dr. Mungu akulinde, Mungu akupe nguvu, moto ulioanzwa usizimike mpaka 2015 wajikute matopeni. Vurugeni macceem mpaka kitambi kiyeyuke au akalazwe Peramiho Hosp.