Picha: DK. Slaa aivuruga CCM Ruvuma

huyu mzee amezeeka sana basi tu ni kig'ang'anizi wa siasa au labda chama ni cha jamii yake. Nadhan 2015 ndo mgombea urais wa cdm!
 
jamani chadema hamuiachi ccm ipumue kila kukicha operation mpya mtaua watu kwa presha wenyewe wapo kwenye honeymoon za mawaziri nyie mnaanzisha operation nawashauri muache tuu hizi operation mtaishia jela kwa kusababisha vifo vitokanavyo na BP...
 
'mungu ibariki chadema na wanachama wake wote',

'mungu ibariki tanzania'.
 
Bonge la mvua mkutano wa dr. Slaa songea mkoani ruvuma kwenye viwanja vya s/m matarawe lakini wananchi wanakomaa.
 
Ama kweli chadema inafukuza wezi.,ccm wanajihisi bariiidi na hasira juu."watataga".
 
Vizur sana Mamluki sa hiv wanajichekesha wenyewe huko lumumba!
 
Kwa hisani ya Mzito Kabwela
SONGEA 22/01/2014









MBINGA 22/01/2014







MBAMBA BAY 22/01/2014




Hakika mungu atakuwa na wanyoge ambao wamenyanyaswa kiasi cha kutosha, wameonewa kiasi cha kutosha, wamepuuzwa kiasi cha kutosha, wamebaguliwa kiasi cha kutosha, wamedanganywa kiasi cha kutosha na sasa wanataka kukombolewa na tumaini kumbwa la ukombozi huu liko mikononi mwa makamanda kama daktar wa falsafa wa ukweli W. P. Slaa
 
Picha za mwaka 2010 zinatumika leo kuhadaa watz mitandaoni na kwenye media
 
Twende kazini mkuu waache wenye maneno waseme sana ila kazi mbele kwa mbele

Uongozi usibadilike, system ikae kama ilivyo !!
 
M4C Pamoja Daima ndiyo habari ya mujini. Nchimbi, Mhagama, na Komba mtaisoma namba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…