H Hamatan JF-Expert Member Nov 10, 2020 3,183 7,645 Nov 26, 2021 #22 Earthmover said: Nimeona USHETU mambo ni moto... Click to expand... Nimekutana na gari nyingine ya makamanda maeneo ya Shinyanga, inachanja mbuga, sijui inaelekea wapi! Mungu awabariki. Shetani unatakiwa kupambana naye, siyo kumwabudu, hata kama unapatwa na magumu ya namna gani.
Earthmover said: Nimeona USHETU mambo ni moto... Click to expand... Nimekutana na gari nyingine ya makamanda maeneo ya Shinyanga, inachanja mbuga, sijui inaelekea wapi! Mungu awabariki. Shetani unatakiwa kupambana naye, siyo kumwabudu, hata kama unapatwa na magumu ya namna gani.