Picha: CCM yaambulia aibu ya mwaka Mlandizi

Picha: CCM yaambulia aibu ya mwaka Mlandizi

Cz hawana KTU cha kuwaambia wananchi even if wana alots of day hakuna cha maana walichofanya
 
Mkuu, nadhani bado inatumika but the difference is, hawa watu wakiisha sombwa mara nyingi hua wamepata usafiri wa muda kuja mjini na wanaendelea na shughuli zao tofauti na kuhudhuria hi mihadhara!
Mbinu ya kusomba na malori siku hizi haitumiki?
 
Ngogo usiwe
muongo,mkutano wa jana ni wa kata tuliuandaa sisi viongozi wa kata 3 za
Mlandizi na wala hatukuwaalika Mweyekiti na katibu wa wilaya,si kweli
awliingia mitini,unapoandika uandike kitu ulichokuwa na uhakika nacho
badala ya kupiga majungu.Kuhusu watu si kweili hawakuwepo,eneo lile watu
wanajibanza kwenye vibanda pembezoni mwa uwanja kukwepa jua ,kwani
hukupiga picha kwenye vibanda?

hahahaa angepiga picha waliokaa kwenye vibanda! mnatia huruma sana, ccm kwisha kabisa..
 
Jf tunatatizo moja kubwa sana la kushabikia chochote kile kinachopostiwa humu yaani kama vile ni mambumbu,mtoamada anaweza kupiga picha mara tu baada ya mahema kufungwa na kuipost nasi tunashabikia lakini ni vyema tukamuuliza kama kulikuwa na mkutano ni wa ngazi ipi,je ni wa kijiji ? Kata ? Wilaya ? Mkoa ? Ama taifa ? Anaweza kusema kuwa viongozi wa wilaya wameingia mitini kumbe ni mkutano wa kata.Kwani kwa jinsi alivyopost kuwa ulipangwa kufanyikia stend Mzenga huo utakuwa wa ama ngazi ya kijiji maarufu kama tawi ama ngazi ya kata ambapo viongozi wa wilaya hawapashwi kuhudhuria
Acha kupotosha..! Wilaya na kata hawana watu. Mikutano ya hadhara yote hasa hii ya kutoa taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi,inaandaliwa na matawi,wao wanaalikwa tu km walivyoalikwa hapo. Mkutano mkuu wa ccm wa (w)au kata ni mkutano wa viongozi. Na mikutano hiyo inafanyika mara 2 tu kwa mwaka. Kasome tena katiba ya ccm.
 
"CCM ina wenyewe..."
na wenyewe ndio hawa hapa.

attachment.php
 
Ngogo usiwe muongo,mkutano wa jana ni wa kata tuliuandaa sisi viongozi wa kata 3 za Mlandizi na wala hatukuwaalika Mweyekiti na katibu wa wilaya,si kweli awliingia mitini,unapoandika uandike kitu ulichokuwa na uhakika nacho badala ya kupiga majungu.Kuhusu watu si kweili hawakuwepo,eneo lile watu wanajibanza kwenye vibanda pembezoni mwa uwanja kukwepa jua ,kwani hukupiga picha kwenye vibanda?

Hapo kwenye BLUE Tunaomba picha ulizopiga wewe kwenye vibanda,
 
Hawana shilingi tano za kuhonga tena mafuso na pikipiki!!! Account zao benk hi hoi, tpmazembe alishatupa ukweli huo hapa!!! Cha msingi ni kwamba huko Kibaha SSM haitakiwi. Sylvester Koka wa Kibaha mjini analijua hili. Hadi leo hakathubutu kwenda kwa wananchi kushukuru kwa uchaguzi maana polisi walimwonya kabisa kuwa hatakiwi maan ahakushinda. Yule saliti wa CDM aliuza kiti!!! Falasi huyu!!!
 
Ngogo usiwe muongo,mkutano wa jana ni wa kata tuliuandaa sisi viongozi wa kata 3 za Mlandizi na wala hatukuwaalika Mweyekiti na katibu wa wilaya,si kweli awliingia mitini,unapoandika uandike kitu ulichokuwa na uhakika nacho badala ya kupiga majungu.Kuhusu watu si kweili hawakuwepo,eneo lile watu wanajibanza kwenye vibanda pembezoni mwa uwanja kukwepa jua ,kwani hukupiga picha kwenye vibanda?
Pole sana mkuu. Jee hii kitu hamkuleta nini?
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    54.2 KB · Views: 98
Jf tunatatizo moja kubwa sana la kushabikia chochote kile kinachopostiwa humu yaani kama vile ni mambumbu,mtoamada anaweza kupiga picha mara tu baada ya mahema kufungwa na kuipost nasi tunashabikia lakini ni vyema tukamuuliza kama kulikuwa na mkutano ni wa ngazi ipi,je ni wa kijiji ? Kata ? Wilaya ? Mkoa ? Ama taifa ? Anaweza kusema kuwa viongozi wa wilaya wameingia mitini kumbe ni mkutano wa kata.Kwani kwa jinsi alivyopost kuwa ulipangwa kufanyikia stend Mzenga huo utakuwa wa ama ngazi ya kijiji maarufu kama tawi ama ngazi ya kata ambapo viongozi wa wilaya hawapashwi kuhudhuria
acha kukashifu wanaJF wote, omba samahani na ufute kauli yako.
 
Mkutano saa tisa mchana wewe unapiga picha saa natu asubuhi


katika hali ya kushangaza jana katika mkutano wa ccm wa kutoa taarfa wa utekelezaji wa ilani ya ccm kwa wananchi ulioandaliwa na uongozi wa ccm wilaya ya kibaha vijijini uliofanyika viwanja vya stend ya mzenga ambao wananchi waliususia na kuwalazimu mwenyekiti wa ccm wilaya hiyo na katibu wake na katibu wao mwenezi kuingia mitini.
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
 
Ndugu zangu hebu tuambizane ukweli tu.au kulikuwa na mvua ndiyo maana watu Hawakuonekana??maana hata waliojibanza kwenye vibanda ni kiduchu sanaaaaaa??au sioni vizuri?
 
Ngogo usiwe muongo,mkutano wa jana ni wa kata tuliuandaa sisi viongozi wa kata 3 za Mlandizi na wala hatukuwaalika Mweyekiti na katibu wa wilaya,si kweli awliingia mitini,unapoandika uandike kitu ulichokuwa na uhakika nacho badala ya kupiga majungu.Kuhusu watu si kweili hawakuwepo,eneo lile watu wanajibanza kwenye vibanda pembezoni mwa uwanja kukwepa jua ,kwani hukupiga picha kwenye vibanda?

nimecheka hiyo sentesi ya mwisho.!
 
Ingekua Mwigulu angeleta mtu wake wa karibu Musa Tesha na mwingne mwenye bandej aseme huyu amemwagiwa Tindikali..hiyo ndio sera yake...
 
Jf tunatatizo moja kubwa sana la kushabikia chochote kile kinachopostiwa humu yaani kama vile ni mambumbu,mtoamada anaweza kupiga picha mara tu baada ya mahema kufungwa na kuipost nasi tunashabikia lakini ni vyema tukamuuliza kama kulikuwa na mkutano ni wa ngazi ipi,je ni wa kijiji ? Kata ? Wilaya ? Mkoa ? Ama taifa ? Anaweza kusema kuwa viongozi wa wilaya wameingia mitini kumbe ni mkutano wa kata.Kwani kwa jinsi alivyopost kuwa ulipangwa kufanyikia stend Mzenga huo utakuwa wa ama ngazi ya kijiji maarufu kama tawi ama ngazi ya kata ambapo viongozi wa wilaya hawapashwi kuhudhuria

Mbona wenyewe huwa wanakanusha leo wamekaa kimya tu....lazima iwe kuna kitu.
 
Acha upumbavu wewe Kanesa ahutubie mkutano wa kata? si kweli ulikuwa na madiwani wote walikuwepo wa kata husika.Diwani Rujo wa Dutumi ulimwona? Diwani Kisebengo wa Kwala ulimwona?Diwani Kizigo wa Gwata?diwani Mwakamo wa Ruvu?Diwani Fatuma Ngozi wa Kikongo?diwani Chezeni wa Soga?Diwani wa Boko?diwani Kirendu wa Magindu wote hawakuwepo wewe unasema walikuwepo acha ushenzi
 
Back
Top Bottom