Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
bil 60 kwa mwaka hela kidogo sana mkuuKati ya watanzania milioni 54 wakipatikana wafanya biashara wadogo wadogo milioni 3*20,000= 60,000,000,000/= kwa mwaka ambazo TRA wanazikosa kwa sasa.
Athari yake ni kuporomoka kwa wafanya biashara wa kati.
Mbona wewe sio mkunga na mkeo anamtoto?.Muhuri uwepo kwa Mjumbe-Nyumba 10. Na upigwe kwa bidhaa za machinga tu msije kuchakachua kama kwenye korosho. Mtu Huna shamba unajiita mkulima haiwezekani
Ila wapita njia tunaipata fresh, ile lami iliwekwa magari yapite, ndiyo tusahau kuyapitisha zikipangwa bidhaa, utaratibu mbovu mno mno...Ni lazima ziwe bidhaa zinazouzika kwa haraka,la sivyo uhifadhi huu unazifanya zichakae mapema sana.
Na bahati mbaya siku hizi, mfanyabiasharaakifungua duka asubuhi, kitu cha kwanza ni kutoa bidhaa nje mpaka njia ya watembea kwa miguu inakuwa finyu sana, wapita njia njia yao inawekwa bidhaa wanalazimika kupita kwenye njia ya magari. Lakini ndio hivyo riziki inatafutwa watoto wakupokee jioni.
Sio Muhuri tu. Ni MUHURI wa MOTO. Nchi hii tumeibiwa sana sasa basimhuri tena?
Wamachinga ndiyo wanaopanga bidhaa kwenye milango ya maduka na njia za watembea kwa mguuNi lazima ziwe bidhaa zinazouzika kwa haraka,la sivyo uhifadhi huu unazifanya zichakae mapema sana.
Na bahati mbaya siku hizi, mfanyabiashara akifungua duka asubuhi, kitu cha kwanza ni kutoa bidhaa nje, mpaka njia ya watembea kwa miguu inakuwa finyu sana, barabara ya watembe kwa miguu inawekewa bidhaa, matokeo yake wanalazimika kupita kwenye njia ya magari. Lakini ndio hivyo riziki inatafutwa watoto wakupokee jioni.
Nyie akili zenu huwa sizielewi...sasa huo muhuri utakuwa ni wa kiwandani au?Hizo bidhaa za machinga zipigwe muhuri maalum kuepusha wapiga dili kutumia mwanya huo kukwepa kodi
Mkuu viwanda vipo 3000+ sasa hivi tumevuka lengoKwa hiyo Mambo ya viwanda kwa sasa tumesimamisha????
TBC wanahamia 5G,yaani ni ZiiiiiVivaJPM.Tumeahiditunatekeleza,wapi TBC.
Vipi hivyo?? Vile vya ukiwa na cherehani mbili tayari una kiwanda ama vipi hivooo... Nijuze mkuuMkuu viwanda vipo 3000+ sasa hivi tumevuka lengo