Picha: Bashasha na tabasamu za JK zageuka uso wa ndita na hatia

Picha: Bashasha na tabasamu za JK zageuka uso wa ndita na hatia

barracuda

Member
Joined
Nov 2, 2025
Posts
31
Reaction score
140
Bashasha na tabasamu siku alipoihondomola CCM kwa kulazimisha jina la ampendae yeye lipite bila mchakato...

CCM.JPG


Kikaja kikaharibika....
Wananchi wamelikataa jina, watu wameimba mitaani HATUMTAKI HATUMTAKI HATUMTAKI... kisha wakamwagwa damu zao...



Capture 8.JPG


kikwete.JPG
 
Picha mbili za chini ni alikuwa wapi? Bungeni?

Wataalam wa body language watusaidie! Kuna vitu naviona wazi wazi…😁😁
 
Wanajeshi wana hasira nae huyu mpuuzi yani akae kwa kujiandaa tu
yaani Mange anawashauri mkaandamane mkachome mali za watu na nyie mnashabikia kabisa, yeye mwenyewe yupo sehemu salama aliogopa hakwenda ila mangombe sasa yanachochewa yanaingia mkenge bila hata kupima , anasamabaza uongo wa chuki mnaukubali aisee huwa nacheka mpka napaliwa, eti anaongea na wanajeshi endeleeni tu kuandmana mnaichukua ikulu leo leo endeleni tu mnaichukua ikulu mangombe yakaendelea kuuliwa tu mara ohh jeshi wana bunduk tu hawana risasi ahaaaa ahaaaaa MA NGOMBE YETU BANA
 
yaani Mange anawashauri mkaandamane mkachome mali za watu na nyie mnashabikia kabisa, yeye mwenyewe yupo sehemu salama aliogopa hakwenda ila mangombe sasa yanachochewa yanaingia mkenge bila hata kupima , anasamabaza uongo wa chuki mnaukubali aisee huwa nacheka mpka napaliwa, eti anaongea na wanajeshi endeleeni tu kuandmana mnaichukua ikulu leo leo endeleni tu mnaichukua ikulu mangombe yakaendelea kuuliwa tu mara ohh jeshi wana bunduk tu hawana risasi ahaaaa ahaaaaa MA NGOMBE YETU BANA
Hizo propaganda zenu zilishakufa tarehe 29 Oktoba.

Saivi Watanzania hatudanganyiki na upuuzi wenu nyie CCM. Ni ama mkubali matakwa yetu au muondoke kwa nguvu.
 
Utaelewa tu
ahaaa ahaa yaani tulidanganywa nchi inachukuliwa na jeshi tarehe 29 jioni mara kesho tarehe 30 mara ohhh bado masaa tu tarehe 31 mara ohhh wamenihakikishia tarehe 1 lazima wachukue nchi mpaka leo hola
 
yaani Mange anawashauri mkaandamane mkachome mali za watu na nyie mnashabikia kabisa, yeye mwenyewe yupo sehemu salama aliogopa hakwenda ila mangombe sasa yanachochewa yanaingia mkenge bila hata kupima , anasamabaza uongo wa chuki mnaukubali aisee huwa nacheka mpka napaliwa, eti anaongea na wanajeshi endeleeni tu kuandmana mnaichukua ikulu leo leo endeleni tu mnaichukua ikulu mangombe yakaendelea kuuliwa tu mara ohh jeshi wana bunduk tu hawana risasi ahaaaa ahaaaaa MA NGOMBE YETU BANA
Kwahiyo unafurahiiaa mauajii
 
yaani Mange anawashauri mkaandamane mkachome mali za watu na nyie mnashabikia kabisa, yeye mwenyewe yupo sehemu salama aliogopa hakwenda ila mangombe sasa yanachochewa yanaingia mkenge bila hata kupima , anasamabaza uongo wa chuki mnaukubali aisee huwa nacheka mpka napaliwa, eti anaongea na wanajeshi endeleeni tu kuandmana mnaichukua ikulu leo leo endeleni tu mnaichukua ikulu mangombe yakaendelea kuuliwa tu mara ohh jeshi wana bunduk tu hawana risasi ahaaaa ahaaaaa MA NGOMBE YETU BANA
Yule sista ni 'winga Teleza' ananoga anapotokea kwa pembeni

Ila sema ana klosiDongo za HATARI sana 😎
 
bungeni hapo....
pembeni yake ni Mpango anasimama kutambulishwa baada ya JK kutambulishwa... muda wote alikuwa na uso wa guilty concious
Majuto ni ..... Mzee huyo siku ile angefanya jambo la busara yasingetokea yote yanayotokea kingine anajisahau kwamba miaka imetembea sana na generations zimebadirika na mbinu zimebadirika huwezi ukatumia mbiu hio hio kila muda lazima udakwe sasa awamu hii mbinu imefeli... Jaji Masaju amechafuliwa na Jaji Mwambegele wameonekana majaji wote hawana maana... wasimamizi wa uchaguzi wanasema hakuna wapiga kura waliopiga kura zile kura za majumuisho zote zilitoka wapi au mpaka wavujishe ushahidi wa picha kuonyesha kilichofanyika?
 
Miongoni mwa watu wenye presha kubwa kwa sasa ni huyu na aombe sana D9 isiwe na vurugu huyu mda wake ni mchache sana watanzania washajua adui yao
 
Back
Top Bottom