Picha: athari ya mvua Huko mtaani kwako Hali ipoje?

Wakati kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, umeme umekuwa mwingi kuliko matumizi? Unadhani ni legacy ya nani hiyo?
Mkuu,

Hilo bwawa limefanyiwa kazi na Watanzania wengi sana tangu uongozi wa rais Nyerere. Kwa nini tunapenda tabia ya kumkuza mtu mmoja?
 
Elephantiasis (Makamu mwenyekiti wa Daruso) na Asha Mtwangi sijui wapo wapi, walipitiwa na Mzee Punch
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…