PICHA: askari FFU akimpigia Salute Lowassa Kigoma

PICHA: askari FFU akimpigia Salute Lowassa Kigoma

amilyroley

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
621
Reaction score
1,200
Jamani nadhani HAKUNA NAMNA NYINGINE..
 

Attachments

  • 1441385779207.jpg
    1441385779207.jpg
    9.5 KB · Views: 3,751
  • 1441385804356.jpg
    1441385804356.jpg
    81.6 KB · Views: 2,478
Ni sawa kwani rais wetu amepita jeshi na kustaafu akiwa na cheo cha luteni!
 
Ni kawaida huyo ni kiongozi aliefukuzwa uwaziri mkuu.!
 
Afu Wabongo Bhana,huyo Si Alikuwa Waziri Mkuu,salute Kawaida Kupewa Acheni Kukuza Vitu Kama Hamjui Ulizeni.....
 
so what...mbona kitu kidogo icho kinakuwashaaa, tulia wewe sio kila kitu ni cha kupost
 
Watasema photoshop...

hahahahahahah mpaka siku lubuva anamtangaza mshindi watasema ni voiceshop mpaka cku muhasisi wa photoshop na videoshop na voiceshop anakuja uwanja wa taifa na msafara wa gari 20 na kuondoka na msafara wa gari 2 na pikipiki kumpeleka msonga ndo atajua kumbe ilikuwa live
 
Nimeipenda hiyo lazima kufuli aige hiyo
 
Back
Top Bottom