FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,527
- 46,612
Nayaona maghorofa ya PSPF towers kwa mbali.., hivi hayajavunjwa tu?!
Kumbe kuna watu bado wanashangaa hadi barabara, vituo vya daladala, na magorofa hadi karne hii. kazi ipo
kwa hili nampongeza Jakaya
unaishi magomeni mapipa??
laiti kama hizi picha zingekua zimepigwa kutoka nchi jirani ,mngezipa sifa zote
lakini kwakua zinatoka tanzania hazina thaman yeyote , hawa ndio watanzania wetu
haijalishi kitu n kizuri namna gani au kina ubora gani as long as kimetoka tanzania lazima mtanzania akizungumzie kwa mabaya .
Sie tunaopita kila siku tunajionea kawaida tu