Picha: ANGALIA UJIONEE MAGOMENI MAPIPA YA LEO

Picha: ANGALIA UJIONEE MAGOMENI MAPIPA YA LEO

nngu007

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
15,860
Reaction score
5,803
THURSDAY, FEBRUARY 26, 2015




Mambo yanazidi kuwa mswano jijini Dar,kwani kila kukicha mabadiliko yanaonekana.pichani ni Kituo cha Basi cha Magomeni Mapipa leo.

Inavyoonekana Magomeni Mapipa sasa.

Magomeni Mapipa kuelekea Kariakoo.

Vikwangua acha vya nguvu upande wa Kariakoo kutokea Magomeni Mapipa.




MICHUZI
 
...mbona hakuna la ajabu

hapo ni barabaran hats manzese pako hivyo ,toka hatua moja ingia ndan i

hapo kaingia mjini sasa na techno mpya binamu


laiti kama hizi picha zingekua zimepigwa kutoka nchi jirani ,mngezipa sifa zote

lakini kwakua zinatoka tanzania hazina thaman yeyote , hawa ndio watanzania wetu

haijalishi kitu n kizuri namna gani au kina ubora gani as long as kimetoka tanzania lazima mtanzania akizungumzie kwa mabaya .
 
laiti kama hizi picha zingekua zimepigwa kutoka nchi jirani ,mngezipa sifa zote

lakini kwakua zinatoka tanzania hazina thaman yeyote , hawa ndio watanzania wetu

haijalishi kitu n kizuri namna gani au kina ubora gani as long as kimetoka tanzania lazima mtanzania akizungumzie kwa mabaya .

Mbona unadharau hivyo.....
 
1. Daraja la Jangwani halijajengwa kukidhi mafuriko....mvua zitakapoanza nyesha kuvuka pale itakuwa shiiidaaaah

2. Vibao vilivyowekwa vinachanganya na hata mitaaa imebadilishwa majina mfano mtaa wa swahili....mazengo...ect
 
Kumbe kuna watu bado wanashangaa hadi barabara, vituo vya daladala, na magorofa hadi karne hii. kazi ipo
 
1. Daraja la Jangwani halijajengwa kukidhi mafuriko....mvua zitakapoanza nyesha kuvuka pale itakuwa shiiidaaaah

2. Vibao vilivyowekwa vinachanganya na hata mitaaa imebadilishwa majina mfano mtaa wa swahili....mazengo...ect

1. madaraja hayajajengwa upya,ni yale yale yaliyojengwa na kajima yameongezewa upana. na wakati yamejengwa hata mvua inyeshe wiki tatu hayafuriki. siku hizi yanafurika kwa sababu kina cha mto kimepungua kwasababu ya mchanga na takataka zimejaa mtoni.

2. mtaa wa swahili haupo kariakoo?? mtaa wa mazengo sio upanga?? kama sio ipo magomeni mapipa sehemu gani???
 
Back
Top Bottom