Ila wanaJF nimewavulia kofia...sema uzuri wake jambo likifanyiwa kazi mnaappreciate kwamba limefanyiwa kazi (ukiondoa manunda wachache)Hatimaye raisi aonekana kama raisi. Hili neno kudamshi naona limezingatiwa
Umeikubali hiyo suti!Ametokelezea kuanzia suit
Bora umetusaidiaNi mwalimu Nyerere na Queen mother
👍Umeikubali hiyo suti!
Wanatuhitaji sana Jumuia ya Madola sasa hivi wanaondoka umoja wa Ulayahiyo picha ikaguliwe vyema, wasije kuwa wanataka kudukua nchi yetu.
hawa watu weupe sio wema kabisa wakati mwingine.
sijakuelewa dada angu!Wanatuhitaji sana Jumuia ya Madola sasa hivi wanaondoka umiak wa Ulaya
Waingereza wanahitaji support ya Commonwealth countries kwenye Briexist.sijakuelewa dada angu!
Kudamshi ni nini ?Hatimaye raisi aonekana kama raisi. Hili neno kudamshi naona limezingatiwa
Kudamshi ni nini ?
Kudamshi ndio nini sasa ? Kwa tafsiri inayo eleweka ? Kuangalia mavazi yake kuna weza kuwa na maana zaidi ya mojaAngalia mavazi yake kuanzia juu hadi chini.
Mkuu kudamshi ni kupendeza, wanasema hivyo watoto wa mjini.Kudamshi ndio nini sasa ? Kwa tafsiri inayo eleweka ? Kuangalia mavazi yake kuna weza kuwa na maana zaidi ya moja
Shauri ya Elimu ya MEMKWAJf kuna watu wana upeo mdogo sana wa kuchanganua mambo. Mmoja wao ni huyu mtoa uzi.
Kwani haruhusiwi kuwa na smartphone?jiwe naona ana smart phone mfukoni itifaki inaruhusu? Ila iyo suti imemtoa sana Sizonje naona kazingatia ushauri kushona suti isiyoziba mikono
HowHistoria huwa haifutiki. Hawa walitutawala na mpaka kesho bado wanachangia katika bajeti zetu.