Picha: ACT-Wazalendo Waitikisa Songea

Wachaga chama chao ndiyo kimekufa Rasmi.

Mtei tafuta biashara nyingine.
 
Hapo kweli ni Songea Uwanja wa Shule ya Msingi Songea (Majengo), karibu kabisa na Stand Kuu iliyopo Mfaranyaki Songea. Huo Uwanja upo Karibu na Ruvuma Distributors na Opposite to Ahmadiyya Muslim Jamaat Mosque.
 
siku zitto akiiangamiza chadema na ukawa kwa ujumla na kuanzia kupambana na ccm..nitasema kweli wamedhamilia...lakini kwa hizi pongezi wanazozipata kutoka ccm kwa kuua upinzani sidhani kama wa nia ya kupambana na ccm..
 
kiukweli ZITO kabadilisha hali ya hewa songea.

ingekuwa kesho ndio uchaguzi basi zito angevuna kura nyingi.hata yeye hakutegemea kama tuliouzulia tungefikia vile.HAKIKA ZITO NI BALAA
 
Mkutano kama ule zzk hajapata hata mwanachama WA kujiunga ,sasa akiondoka SI ndo basi atakuwa ameondoka na kakikundi kake ka kwenye wallet?
 

Chadema songea haipo, Songea hakuna wachagga
 
Mnapaswa kuhurumiwa Sana Chadema saccos,mwenzio alidai hizo picha Ni za KIGOMA wewe unasema ni edited haya Tunawasikilizeni ,endeleeni kujin yea.
Upuuzi mwingine huna formula maloli ya ccm kibao halafu munajipima na chadema watu vichwa unahesabu hawafiki mia tano duh
 
Teh teh teh

Wachaga M4C iko wapi??

Shwain kabisa.

Nendeni mkafie mbele huko na saccoss yenu hiyo.


Wewe ni kubwa jinga, hivi hujujue? kichwa kikubwa lkn kimejaa maji, kichwa kaa dafu vile
 
wale bavicha na matusi yao sasa basi,ile saccos ya wachaga kwa sasa basi watapata kula kilimanjaro tu kwengine ndo wasahau
Kwa hiyo saccos ya waha de banyamulenge act ndio imepewa ujiko na ccm kudos ayatollah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…