jogoolashamba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 348
- 71
Inakuwaje unam quote mwingine halafu unamjibu mwingine?
DEcimal,number,mixed fraction,improper fraction.
Kosa kubwa ulilolisema katika swali lako ni kuwa pi ilijulikanaje zama za kabla ya sayansi? Nitakupa mfano, uhandisi wa majengo uliotumiwa kujenga mapiramidi ya Misri ulikuwa ni wa hali ya juu sana. Mapiramidi yalijengwa kabla ya Musa kwa sababu Musa baadaye ndiye aliwaondoa Wana wa Israel katika utumwa uliowafanya kujenga mapiramidi hayo. Na Musa ndiye aliyeandika vitabu vitano vya Agano la Kale (Mwanzo, Kutoka, Walawi, Hesabu na Kumbukumbu ya Torati).
Mimi Biblia yangu inasema hivi: Wana wa Israel waliondoka Misri 1520 BC. Na Mfalme Suleman alitawala 970 BC.
Sasa nikuulize, hiyo sayansi unayoizungumzia ilianza lini? Kama unazungumzia mwanzo wa sayansi iwe pale Bwana wetu Yesu Kristo alipopeleka Fadhila zake nchi za Magharibi, basi unazungumzia maugunduzi ya Wanasayansi wa leo wakiwemo Mathematicians na Physicists uliowasoma darasani. Baada ya Mwanakondoo aliyechinjwa kutawazwa kama ilivyo katika Ufunuo wa Yohana Aya ya 4, Aya ya 5 na Aya ya 6 ndipo dunia ikajaliwa sayansi na teknologia ya magari, treni na ndege na kuifanya dunia kuwa ndogo sana.
Lakini sayansi hii ilikuwa ni mwendelezo wa maarifa ambayo yalikuwepo tangu zama za kabla ya kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Kulikuwa na refinements kulingana na mahitaji makubwa ya kuenezwa kwa neno kutoka Ulaya kwenda dunia yooote zaidi ya Israel. Kina Vasco daGama, kina Marcopolo, sema wewe na hao wengine.
Kwa hiyo pi ilikuwepo kabla ya Yesu Kristo.
Hapo kwenye red una maanisha waisrael ndiyo waliojenga pyramids?!!..angalia tena hesabu zako, you are bn mislead!
Kasome miaka ya kujengwa mapiramidi na kuja kwa Musa kuwaondoa wana wa Israel kutoka utumwa wa Farao, Farao yupi alijenga hayo mapiramid na Farao yupi aliwaingiza waisrael katika utumwa wake. Nina hakika utapata majibu yako. They are mere historical events that do not require any scientific proof.
Hi everyone!
Katika kitabu cha Wafalme (1Fal 7:23-26), tunasoma kuwa Mfalme Sulemani aliagiza mtu mmoja aitwaye Hiramu kutoka Tiro, kutengeneza beseni(?) kubwa la maji (mfano wa mcheduara) kwa ajili ya kupamba Hekalu Jipya.
Ni wazi kuwa ili utengeneze chombo chenye umbo la mcheduara (cylindrical shaped object) itakulazimu angalau ujue matumizi ya Pi!
Ebu tuangalie vipimo alivyotumia huyu Hiramu mtu mwenye hekima na akili aliyetengeneza beseni(?) kubwa la shaba.
Kipenyo = mikono 10 (180 cubits), urefu kwenda juu = mikono 5 (90 cubits), Pi = 3.14159..., mzingo (circumference)?
Mzingo = Pi*kipenyo au 2*Pi*nusu kipenyo.
= 3.14159*10 = 31.4159 (appr. 30)
"Tena akafanya bahari ..., na uzi wa mikono therathini kuizunguka kabisa". Rejea 1Fal 7:23-26.
Swali la kujiuliza: hivi huyu Hiramu alijuaje kuwa ni lazima kutumia Pi enzi zile za zamani kabla ya sayansi na maarifa havijashika kasi kubwa?
(Ikumbukwe, Hiramu aliishi miaka 1011 BC)
Kaka usiwe unameza stori za sunday school kama zilivo, chimba ndani. Uzuri wa historia ya pyramids ziko well documented, down to the dates! Mapiramidi yote makubwa na maarufu yalijengwa kati ya 2600BCE-1700BCE, wakati evidence ya kwanza ya Wayahudi kuonekana Misri ni 650BCE, nao hawakuwa watumwa, walikuwa kundi la wanajeshi kutoka Dola ya Persi! Evidence zinaonesha watu waliojenga mapiramidi walikuwa waajiriwa waliolipwa vizuri, data zipo na maelezo yote hata ukitaka kujua menu yao ya chakula! CHIMBUA KAKA
Mimi Kalenda yangu inasema hivi:
1.Kama 1850 BC: IBRAHIM anaondoka Ukaldayo na kwenda kuishi Palestina. Isaka, Yakobo na Yusufu wanaishi Palestina.
2. Kama 1700 BC:Jamii mbali mbali za Waebrania (Waisrael) wananza kutengemana huko Misri. Waebrania wanateswa na Wamisri
3. Kama 1520 BC: MUSA na Waisrael wanaondoka Misri wanasafirisafiri jangwani.
Ningeweza kuendelea kukupa nukuu za vipindi zaidi lakini havihusiki na mada yetu. Ni kweli Mapiramidi yalijengwa katika kipindi ulichotaja lakini Waisrael uliowataja siyo Waisrael waliokuw utumwani Misri.
Soma historia, usipende kila kitu kutafuniwa.waisrael na persia wap na wap?usiwe kilaza
Hi everyone!
Katika kitabu cha Wafalme (1Fal 7:23-26), tunasoma kuwa Mfalme Sulemani aliagiza mtu mmoja aitwaye Hiramu kutoka Tiro, kutengeneza beseni(?) kubwa la maji (mfano wa mcheduara) kwa ajili ya kupamba Hekalu Jipya.
Ni wazi kuwa ili utengeneze chombo chenye umbo la mcheduara (cylindrical shaped object) itakulazimu angalau ujue matumizi ya Pi!
Ebu tuangalie vipimo alivyotumia huyu Hiramu mtu mwenye hekima na akili aliyetengeneza beseni(?) kubwa la shaba.
Kipenyo = mikono 10 (180 cubits), urefu kwenda juu = mikono 5 (90 cubits), Pi = 3.14159..., mzingo (circumference)?
Mzingo = Pi*kipenyo au 2*Pi*nusu kipenyo.
= 3.14159*10 = 31.4159 (appr. 30)
"Tena akafanya bahari ..., na uzi wa mikono therathini kuizunguka kabisa". Rejea 1Fal 7:23-26.
Swali la kujiuliza: hivi huyu Hiramu alijuaje kuwa ni lazima kutumia Pi enzi zile za zamani kabla ya sayansi na maarifa havijashika kasi kubwa?
(Ikumbukwe, Hiramu aliishi miaka 1011 BC)
we maamuma ukristo haukuanzia ulaya.ulianzia mashariki ya kati israel,ukapokelewa mapema asia ndogo yan syria,uturuk,macedonia n.k