Physics ya A- Level inanitesa

Duh! Nakumbuka siku ya kwanza nimefika shule Advance apo nimepangiwa PCB, aisee nilikuwa sijawahi viona hivyo vitabu ile kuviona tu kwa washkaji nilitamani kulia. Advance sio ya mchezo kabisa yaan inataka moyo wa chuma kwakweli, hasa shule zetu za watoto wa mbwa ni shida kwakweli
 
Dah, pole sana dogo...
Nakumbuka mzee alinikomalia nisome science kibishi sana, nilidodge nikajisajili combi za biashara form3 bk& comm. Baadae akaja kunistkuia kwenye report ya terminal exams.

Nikarudishwa form3 upya ili nisome science tu kama yeye kiukweli physics ilikuwa changamoto ila biology na chemistry ndio ilikuwa uge uge kwangu.
Hatimae niliambulia kufuli tu yani 'D ya physics kwenye CSEE, worst decision ever done!
 
Umenikumbusha mbali sana!! Mechanics hutaiacha hapo kama utaenda kusomea engineering...ukija chuo utaikuta mwaka wa kwanza...huku inaitwa engineering mechanics!!

Ukitaka kufaulu phy kwanza ipende pili penda maths pia jitahidi kusoma topics kama differentiation na integration mapema ili ukiwa kwenye phy ukiambiwa dy dx ujue ni kitu gani!!

Anyways nimemaliza engineering mwaka jana...namshukuru Mungu kwa kweli!!
 
Mechanical si ndio boss?
 
Mechanical si ndio boss?
No not really! Irrigation and water resources engineering!!

But mechanical is good hasa ukizingatia ni one among key engineering fields! Kwenye hii field utaingia ndani sana kwenye design!!

All in all...being a civil..mechanical...electrical its not a big deal since wote ni ndugu moja wa familia ya uhandisi!!
 
Aisee
 
una raha sana unasoma kipindi ambacho kuna google,u tube una smart phone matuition yapo kibao walimu wa physics wapo kibao ila unasema bado inakusumbua dah aisee ungesoma kipindi chetu jee hi physics kaza kijana komaa acha kulialia...
Hakika Mimi nilisoma physics miaka ya 2000.hali ilikuwa mbaya🤣🤣🤣🤣🪑
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…