Dah, pole sana dogo...
Nakumbuka mzee alinikomalia nisome science kibishi sana, nilidodge nikajisajili combi za biashara form3 bk& comm. Baadae akaja kunistkuia kwenye report ya terminal exams.
Nikarudishwa form3 upya ili nisome science tu kama yeye kiukweli physics ilikuwa changamoto ila biology na chemistry ndio ilikuwa uge uge kwangu.
Hatimae niliambulia kufuli tu yani 'D ya physics kwenye CSEE, worst decision ever done!