robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,140
- 3,333
ruga ruga mwenzako niko huku. ila sio kwa hiyo' P' nawaasoma tu wenyeji wa fizikiaUmenikumbusha milambo high '11 Physics nilikuwa nasoma mara moja kwa wki hili nina D sasa cheki msuli wa Bios kila sku Hila D
I solute in Biology
Wala sio icho unachokisema mkuu.Mi ni mwlm mwandamizi.acha kudanganya watu.physics ni ngumu.sio sawa na civics au history
Sio somo rahisi bali kwa masomo mengi ya vyuoni combi hii CB ndio inahusika zaid kama kwa PCM mara nyingi hawakomai na Chemistry;je na wao waseme rahisi?Kwa sisi tuliosoma PCB advanced Physics ndio somo rahisi na huwa hatulipi kipaumbele...
Huu ni mtazamo wako na ule ni mtazamo wangu.Sio somo rahisi bali kwa masomo mengi ya vyuoni combi hii CB ndio inahusika zaid kama kwa PCM mara nyingi hawakomai na Chemistry;je na wao waseme rahisi?
Sio suala la mitazamo ni reality!kama ingekua rahisi na wa PCM wangekomaa na Math na Chemistry but ni issue ya kuangalia ili uende Medicine unatakiwa ufaulu somo gani na ndio maana PCB wanakomaa na CBHuu ni mtazamo wako na ule ni mtazamo wangu.
Nakwambia ni rahisi kwasababu PCB tunakomaa na Chemistry na Biology ila Physics hatukomai na matokeo yakija tunafaulu vizuri Physics wakati Biology na kukomaa kote ukipata C mwanaume! Enzi zetu.Sio suala la mitazamo ni reality!kama ingekua rahisi na wa PCM wangekomaa na Math na Chemistry but ni issue ya kuangalia ili uende Medicine unatakiwa ufaulu somo gani na ndio maana PCB wanakomaa na CB
Same kwa PCM wanakomaa na PM ila kupata point 3 zilikua nyingi toka PCM na ukiuliza utaambiwa Chemistry unayoiona wewe ngumu wao walikua sio kipaumbele kwenye ratiba zaoNakwambia ni rahisi kwasababu PCB tunakomaa na Chemistry na Biology ila Physics hatukomai na matokeo yakija tunafaulu vizuri Physics wakati Biology na kukomaa kote ukipata C mwanaume! Enzi zetu.
Somo rahisi kwetu PCB ni Physics ndio maana hatulikomalii na pass mark zinakuwa juu.
Na wewe umesoma the kama pacha wako?Heshima yako pacha
Somo lililokuwa linawakosesha PCB point tatu ni Biology tu. Sio Physics wala Chemistry. Mwaka wetu Biology wa kwanza nchi nzima alipata C,btw sijasema Chemistry ilikuwa ngumu. A za C&P zilikuwa kibao..Same kwa PCM wanakomaa na PM ila kupata point 3 zilikua nyingi toka PCM na ukiuliza utaambiwa Chemistry unayoiona wewe ngumu wao walikua sio kipaumbele kwenye ratiba zao
Aah wapi kwa jeuri gani?Na wewe umesoma the kama pacha wako?
Jeuri mbona unayo? Hukutaka tu...Aah wapi kwa jeuri gani?
It means civics/history ikageuka ngumu kuliko physics?Wala sio icho unachokisema mkuu.
Ukiifundisha kama unaijua ile kitu kiuhalisia IPO damuni lazima wataiona ni tamu.
MIE mwalimu wa fizikia olevo kanifanya nikaipenda.alitupa methodology how to answer/tackle physics problem adi raha.
Mkuu nakuunga mkono!Watu Waache Uongo Japo ni A ya Phsycs (enzi hizo Engineering Science school kwetu) na Advance piaNlipiga A but was Never Easy yaani inahitaji Jitihada za Kutosha Kuliko ata Namba!
Nakumbuka Miaka Hiyo swali la A89 na A91 la RogerMuncaster Nilifanyaga wiki nzima Bado Nikapewa za Uso!
Anyway Respect Kubwa kwa Physics-Somo Ninalolipenda Mpaka Leo!
Hiyo jeuri sina kabisa bestJeuri mbona unayo? Hukutaka tu...
biology mkate eeh??
kweli kila mtu na mtazamo wake
Sawa best kwakuwa tu hutaki sifa hapa jukwaani, ila jambo moja ninalijua:jeuri hiyo unayo...Hiyo jeuri sina kabisa best
Endelea kuamini hivyohivyo mimi ndo najuaSawa best kwakuwa tu hutaki sifa hapa jukwaani, ila jambo moja ninalijua:jeuri hiyo unayo...
Kwa rukhsa yako naendelea kuamini...Endelea kuamini hivyohivyo mimi ndo najua