Nairobi wana ufisadi na rushwa ila angalau wanafanya kazi unaiona
nenda Nairobi kwa sasa na uone walivyojiandaa na miundo mbinu yao
Na bado hivyo vision 2030 kama hakutakuwa na ufisadi kama wa hapa kwetu watakuwa mbali sana
Sisi kila siku daraja la kigamboni, mji mpya w akigamboni, mara mji mpya mchikichini unaishia kwenye makaratasi tuu hakuna linaloonekana
Tumezidi na michakato isiyokuwa na uhalisia
wale waleeeee!!! Mzungu wa reli !kweli jk amefanya kazi ya kubadilisha huu mji, sio mchezo.
Angalia na huu hapa wa 'watani' zetu nairobi miaka ya 1920 ili ujue tumeachwa si leo!
View attachment 52856
Ni kweli mkuu
Jamaa wamejipanga sana, sasa sisi viongozi si ndio kina Hamis Kigwangala!!
Mungu atusamehe lol!
isije kuwa yaleyale ya cccc ya Mh. NunduMkuu wenzetu wanafanya kweli
hata kama wanakula ila wanafanya kazi
barabara zitaonekana zinajengwa
Toka waweke sahihi ujenzi wa daraja la kigamboni mbona hata huyo mkndarasi haonekani
Mradi wa mabasi ya kasi wa dar kila siku unazungumziwa af if kuna kirusi kinapita hakuna kitu
Barabara ya ubungo kimara mpaka mbezi ilipaswa iwe na njia nane sio njia nne za sasa same to ya bagamoyo ila tunazungumzia fly over ambazo hata uwezo wake hatuna