Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,983
- 64,014
Heshima yenu.
Kuna uzi mmoja alianzisha member fulani hivi kwamba nje ya ofisi yake amekuta vitu kama damu.
Mimi nikamtoa hofu na kumwambia hata mimi katika frame ya ndugu yangu tumeshakuta paka ndani asubuhi tunapofungua wakati frame ina geti na ina mlango wa aluminium.
Leo yule ndugu yangu akaniambia nikamshikie ofisi yake, nilipofungua tu nikakuta ndani kuna paka kakaa kwenye kiti.
Now am hysterical natamani nicheze PES natamani nimalizie misheni yangu kwenye GTA V tatizo kiti alichokalia ndicho natakiwa kukalia.
Kuna uzi mmoja alianzisha member fulani hivi kwamba nje ya ofisi yake amekuta vitu kama damu.
Mimi nikamtoa hofu na kumwambia hata mimi katika frame ya ndugu yangu tumeshakuta paka ndani asubuhi tunapofungua wakati frame ina geti na ina mlango wa aluminium.
Leo yule ndugu yangu akaniambia nikamshikie ofisi yake, nilipofungua tu nikakuta ndani kuna paka kakaa kwenye kiti.
Now am hysterical natamani nicheze PES natamani nimalizie misheni yangu kwenye GTA V tatizo kiti alichokalia ndicho natakiwa kukalia.