Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
To be honest mimi sioni unyanyasaji wowote hapo. Mi naona heri adhabu ya aina hiyo kuliko kuchapwa viboko ingawa pia sipingi adhabu ya kumchapa mtoto viboko viwili, vitatu. Adhabu za namna hii ndizo zilizojenga ukakamavu kwa kizazi kilichokuwa na uzalendowa kweli kwaTanzania na kufanya mengi tu tunayoyajutia leo kama kuwatoa wareno na makaburu kusini na kuwaondoa waliokuwa wakiimezea mate nchi yetu kama kina Iddi Amin. Hata Biblia na Qurani zimehimiza adhabu kwa watoto, na waliopuuza ushsuri huo wamejikuta wakifanya yanayofanywa na wenzetu wa magharibi leo hii! Sina hajaa ya kuyaeleza humu maana yanatia kinyaa!Ilichangia kutengeneza kizazi cha watu wazalendo na wakakamavu!
hii picha ni ya wanafunzi wa muheza primary school...jinsi gani wanavyowanyanyasa watoto wadogo namna hii
tena ni wanafunzi wa shule...hivi tunajenga tunabomoa?? Adhabu za namna hii ni za kukumea vilivyo
wapi serikali???
View attachment 59556
Serikali ipi? TZ no government.Hii picha ni ya wanafunzi wa MUHEZA PRIMARY SCHOOL...jinsi gani wanavyowanyanyasa watoto wadogo namna hii
tena ni wanafunzi wa shule...hivi tunajenga tunabomoa?? Adhabu za namna hii ni za kukumea vilivyo
WAPI SERIKALI???
View attachment 59556