Unataka kumuoa??!!!!Weka bei na mahari ulipo,
imetumika miezi 4, ipo katika hali nzuri, nilikuwa naitumia katika studio yangu ndogo ya picha, kutokanna na usimamizi mbofu nimeamuwa kuifunga na kuuza kila kitu, kama utakuwa unahitaji kamera na hiyo printa vinapatikana kwa bei poa sana, karibuni wadau
Duka gani hilo na wanauzaje? maana hata nchi zinazotengeza hawauzi chini ya hiyo bei, labda huzifahamuKwa heri kwa maana hata bei ya dukani tu ipo chini ya bei yako
ingefaa zaidi kama ungetuonesha kwa picha hivyo vifaa kwani wengi wanahitaji